comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,211
- 5,937
- Thread starter
- #81
Hivi si uchaguzi wao ndio walihongana mapesa?Walileta move kwenye kikao cha maaskofu wa KKKT kuunga mkono CHADEMA na mgombea Lowasa, sababu ni KKKT mwenzao, lakini maaskofu wachache wenye akili kama Malasusa waligoma, kilichofuata ni kujenga chuki dhidi yao! Huyo ndiye Shoo.