Kila mwenye akili na mkweli wa nafsi yake, anajua kuwa Serikali imembambikia kesi Mbowe.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Kesi zote dhidi ya wapinzani, Serikali huwa inawabambikia. Na mifano ipo mingi.