Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Siku za hivi karibuni nimeshuhudia jambo moja la hovyo sana kwenye mitandao ya Kijamii Nchini Tumeanza kuingilia Uhuru wa watu pindi pale wanapotoa maoni yao na zaidi kwa kuegemea upande mmoja.
Kuna baadhi ya Maaskofu wakitoa maoni kwa kuikosoa Serikali wanashangiliwa na kupongezwa lakini wakati huo huo kuna baadhi ya Maaskofu wakielezea mazuri ya Serikali wanaambulia matusi na kebehi
Abraham Lincoln alipata kusema hivi namnukuu:Hurusiwi kuingilia Uhuru wa mtu pasipo ridhaa yake
TCRA kama wasipokuwa makini na kizazi hiki ambacho hakitaki kufanya kazi lakini kinashinda mitandaoni kwaajili ya lengo moja tu nalo, Matusi tu
Nadhan ni wakati muafaka Tcra kuangalia hili swala kwa upana ili isije kuleta madhara siku za usoni, Tuheshimu Uhuru wa watu pindi wanapotoa maoni yao
Alex Fredrick
Kuna baadhi ya Maaskofu wakitoa maoni kwa kuikosoa Serikali wanashangiliwa na kupongezwa lakini wakati huo huo kuna baadhi ya Maaskofu wakielezea mazuri ya Serikali wanaambulia matusi na kebehi
Abraham Lincoln alipata kusema hivi namnukuu:Hurusiwi kuingilia Uhuru wa mtu pasipo ridhaa yake
TCRA kama wasipokuwa makini na kizazi hiki ambacho hakitaki kufanya kazi lakini kinashinda mitandaoni kwaajili ya lengo moja tu nalo, Matusi tu
Nadhan ni wakati muafaka Tcra kuangalia hili swala kwa upana ili isije kuleta madhara siku za usoni, Tuheshimu Uhuru wa watu pindi wanapotoa maoni yao
Alex Fredrick