Uchaguzi 2025 Askofu Shoo: Mungu amepanga Rais Samia kuwa Rais wetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BabaMia

JF-Expert Member
Jan 7, 2024
270
551
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo

Kupata vimbwanga wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo

Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Askofu Bagonza: KKKT ina Mkuu wa Kanisa mmoja tu

 
Mh. Mbowe akawapigia chapuo kwa kukiweka chama rehani kupata fedha ya harambee ya kanisa kkkt machame. Leo hii wanambwaga Baada ya chama kuzorota.
 
Askofu Shoo ànazeeka vibaya. Mlio karibu naye mwambieni ajikune panapomuwasha
 
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo

"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo

Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
2025 bongo movie wangekua series ilitakiws wawe wanaandaa script sasahivi
 
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa...
Hakuna askofu hapo huyo ni tapeli tu na kwa sababu analishwa na waumini wake wanao teseka hajui shida zinazowakuta waumini wake ndio maana anasifia visivyo takiwa kusifiwa.
 
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo

"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo

Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
Ameshiba hongo mpaka anajamba
 
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo

"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo

Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
Tusibiri mapovu toka kwa wale vichaa wakiongozwa na Mdude na Lema.
 
Hakuna askofu hapo huyo ni tapeli tu.na kwa sababu analishwa na waumini wake wanao teseka hajui shida zinazowakuta waumini wake ndio maana anasifia visivyo takiwa kusifiwa.
Wew miaka nenda rudi umsifie mzee mbowe ambae nae ukifika wakati inabidi akuazima mhombea urais toka chama tawala
 
Kwaiyo wakati anasema hivyo kondoo walikuwa wamekaa tuu wanamsikiliza
 
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo

"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo

Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
Huyu Bishop alipata tabu sana kipindi cha JPM. Hivyo, ameona ampigie debe Mama Samia maana haingilii masuala ya dini.
 
2025 bongo movie wangekua series ilitakiws wawe wanaandaa script sasahivi
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo

"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo

Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.

Je, awumu ya Tano iliisha lini mpaka tunafika awamu ya sita.?
Je, awamu ni mtu au ni mfumo wa serikali baada ya wananchi kumchagua Rais na serikali yake kwa Kura .?
Je, sio awamu ya tano iliyomweka Mh. Samia kwenye nafsi ya kuweza kuendeleza kijiti baada bila kukabidhiwa na mtu wala wananchi kumchagua ili akamilishe awamu aliyokua nayo na aliyokua anaitumikia na kuifahamu vizuri.
Hii ya kuita awamu ya sita ni janja tu ya machawa ila awamu yake itaanza 2025 endapo atagombea na kushinda.

Huyu ni rais wa kujaza nafasi ya Rais aliyefia madarakani na endapo naye atafia pale (Mungu epushia mbali)basi atakua ni Mpango . Je ,mpango kwa miezi kumi au sita iliyobaki ataitwa rais wa awamu ya saba mfano imebaki miezi saba ataitwa rais wa awamu ya saba . Na mwezi wa kumi uchaguzi awe anaingia awamu ya pili. Katiba ya CCM na serikali yake ni katiba ya wahuni na watu wasiojali maslahi ya nchi zaidi ya matumbo yao.

Awamu moja ina muda wa miaka kumi na sio nane . Ikikamilishwa na miaka mitano mitano na sio mitatu.
Samia hana awamu yake ya sita bali ni ya tano na ameipata kwa utaratibu wa kuendeleza awamu aliyoitumikia kwa sifa ya umakamu wa Wa rais aliyefariki na sio kwa mamlaka ya kura za wananchi .

Awamu yake ya sita itaanza 2025 endapo atapita na hiyo ndiyo itakua awamu ya sita.

Hii ni awamu ya tano .
 
Naunga mkono hoja, SSH-5Tena, nimemuona Malisa anajiliza huko Insta na FB, mbona wakati askofu wetu anawapa shavu CDM alieleweka, kulia kupokezana
 
Back
Top Bottom