Askofu Shoo asema kusitishwa kwa ajira kumewaliza watanzania na umasikini umetanda kila kona

Dec 25, 2016
63
83
Amesema serikali imesitisha ajira mpaka sasa watanzania wengi walia walalamika kusitishwa kwa ajira serikali haitaki kusema ukweli alisema shoo hali ya umasikini yatanda yawa mbaya kuliko vipindi vyote vya uongozi watumishi wa umma wanaogopa kutumbuliwa awahasa kuendelea kusema ukweli asema watanzania walilia mikopo elimu ya juu asema serikali haina hofu ya mungu askofu shoo alisema viongozi wengi wamekuwa wakitoa ahadi na maneno ya uongo kwa wananchi bila utekelezaji alisema huko si kuwadanganya wananchi ni kumdanganya mungu wao alisema uongozi ni mpito baada ya uongozi kuna maisha ambayo mungu Pekee ndoo atakuwa shujaa na kiongozi amewataka viongozi kuwa na hofu ya mungu
8b99aacd40c6dc2c55cc3a3ab183ef88.jpg
 
Amesema serikali imesitisha ajira mpaka sasa watanzania wengi walia walalamika kusitishwa kwa ajira serikali haitaki kusema ukweli alisema shoo hali ya umasikini yatanda yawa mbaya kuliko vipindi vyote vya uongozi watumishi wa umma wanaogopa kutumbuliwa awahasa kuendelea kusema ukweli asema watanzania walilia mikopo elimu ya juu asema serikali haina hofu ya mungu.
8b99aacd40c6dc2c55cc3a3ab183ef88.jpg
Wote ni wapiga dili! Kila mmoja na tumbo lake. As long as kuna mazingira ya waumini kutoa sadaka, basi nchi ina Amani! Ikitokea waumini wakashindwa kwenda kutoa sadaka, --NCHI HAINA AMANI
 
Amesema serikali imesitisha ajira mpaka sasa watanzania wengi walia walalamika kusitishwa kwa ajira serikali haitaki kusema ukweli alisema shoo hali ya umasikini yatanda yawa mbaya kuliko vipindi vyote vya uongozi watumishi wa umma wanaogopa kutumbuliwa awahasa kuendelea kusema ukweli asema watanzania walilia mikopo elimu ya juu asema serikali haina hofu ya mungu.
8b99aacd40c6dc2c55cc3a3ab183ef88.jpg
Huo Shoo hata nukta hajaweka kweli alichukia...kaongea weeee bila kupumzika
 
Awamu hii serikali ina kitu cha kujivunia kurudisha NIDHAMU kienyeji ofisi zao. Lakini kwa ishu ya ajira wamechemka Sana.. Wanafanya vijana wazidi kuwa tegemezi.. Na ndipo Umaskini unaanzia hapo tena
Hivi ni nidhamu ipi imerejea ofisini....???
Maana hili neno la nidhamu kurejea maofisini kama hamuelewi maana yake
 
Aka kajamaa inatakiwa kaondolewe tu tumeshakachoka na uongo wake....mbona taarifa za makusanyo za traei hatutangaziwi tena
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom