WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,415
- 1,379
Huu ni uji..nga uliogandamana kwa vichwa maji,nimesoma nikamaliza nikiwa najua serikali haiajiri kwa watu wa kada zetu japp ni sayansi,darasa zima tulimezwa na private sector na mshahara wa serikali unaingia mara mbili na kitu kwenye mshahara wangu...siwazi na wala starajii kuingia serikalini nikitoka huku nilipo nafabya mambo yangu tuNilikua nimedhamiria kutumia maneno ya Kadinali Pengo kama ngao ya kutoenda kanisani.
Naona maneno ya Askofu Shoo yamekuja kunijaribu ngoja nione Pengo atafanyaje halafu nitajua nifanye nini.