YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
TEC haihusiki alitumia madaraka vibaya kisa tu ohhh Askofu ana mamlaka jimboi kwake kujiamlia chochote!!Labda pengine haufahamumtiriiko wa mamlaka ulivyofanya kazi hadi Niwemugizi akafunga kwa muda ibada za Jimboni kwake. Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ndilo lililotoa ruhusa kwa Askofu yeyote kutathmini hali ya ugonjwa jimboni kwake na kuchukua maamuzi ya kufunga au kutofunga ibada. Kwa hiyo kama unatafuta wa kumlaumu kuhusu kufungwa kwa ibada za Jumapili za Jimbo la Rulenge, basi lilaumu Baraza lote la Maaskofu Katoliki (TEC), na sio kumlaumu Askofu Niwemugizi aliyetekeleza maamuzi ya TEC. By the way, kwa sasa kila Jimbo linajua ipi ni pumba na ipi ni mchele
Niwemugizi kichwa maji ndio maana alinyimwa kuwa Askofu jimbo kuu la Dar es salaam sababu haivi na wenzie too much know!!!
Angeweza hata kuwa mwenyekiti wa baraza la maaskofu Tanzania au kardinali lakini kaachwa akae na ujuaji wake wanapewa vijana anaachwa na u senior wake wa kijeuri