Askofu Niwemugizi: Uhuru wakati kuna ubinafsi sio uhuru

johnmashilatu

JF-Expert Member
Sep 16, 2010
718
703
Askofu wa kanisa katoliki Jimbo la Rulenge Ngara, Mhashmu Severine Niwemugizi amesema hatuwezi kuzungumzia uhuru wa Tanganyika na badaye Tanzania wakati kuna watu wamejaa ubinafsi

Askofu Niwemugizi amesema katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa tanganyika ni lazima kuangalia kuwa roho iliyojaa ubinafsi haijawa na uhuru wa kweli

kiongozi huyo wa kanisa katoliki jimbo la Rulenge Ngara amesema viongozi na raia wote hawana budi kuonyesha kuwa huru kutokana na ukwelii

"haya mambo ya kutenda kwa uongo uongo, kudanganya danganya, kumbe watu wna mambo yao ya kibinafsi haya mambo yana udhuru sana uhuru wetu", amesema askofu huyo
 
Askofu wa kanisa katoliki Jimbo la Rulenge Ngara, Mhashmu Severine Niwemugizi amesema hatuwezi kuzungumzia uhuru wa Tanganyika na badaye Tanzania wakati kuna watu wamejaa ubinafsi

Askofu Niwemugizi amesema katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa tanganyika ni lazima kuangalia kuwa roho iliyojaa ubinafsi haijawa na uhuru wa kweli

kiongozi huyo wa kanisa katoliki jimbo la Rulenge Ngara amesema viongozi na raia wote hawana budi kuonyesha kuwa huru kutokana na ukwelii

"haya mambo ya kutenda kwa uongo uongo, kudanganya danganya, kumbe watu wna mambo yao ya kibinafsi haya mambo yana udhuru sana uhuru wetu", amesema askofu huyo

Ndio maana tunasema hakuna cha kusherehekea lakini kwa vile watanzania ni makondoo yatapigwa na jua yanaimba kuishia kutoka na mijasho na kiu wakati akina chenge wanakula pauni za rada.
 
Back
Top Bottom