johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Askofu wa kanisa katoliki Jimbo la Rulenge Ngara, Mhashmu Severine Niwemugizi amesema hatuwezi kuzungumzia uhuru wa Tanganyika na badaye Tanzania wakati kuna watu wamejaa ubinafsi
Askofu Niwemugizi amesema katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa tanganyika ni lazima kuangalia kuwa roho iliyojaa ubinafsi haijawa na uhuru wa kweli
kiongozi huyo wa kanisa katoliki jimbo la Rulenge Ngara amesema viongozi na raia wote hawana budi kuonyesha kuwa huru kutokana na ukwelii
"haya mambo ya kutenda kwa uongo uongo, kudanganya danganya, kumbe watu wna mambo yao ya kibinafsi haya mambo yana udhuru sana uhuru wetu", amesema askofu huyo
Askofu Niwemugizi amesema katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa tanganyika ni lazima kuangalia kuwa roho iliyojaa ubinafsi haijawa na uhuru wa kweli
kiongozi huyo wa kanisa katoliki jimbo la Rulenge Ngara amesema viongozi na raia wote hawana budi kuonyesha kuwa huru kutokana na ukwelii
"haya mambo ya kutenda kwa uongo uongo, kudanganya danganya, kumbe watu wna mambo yao ya kibinafsi haya mambo yana udhuru sana uhuru wetu", amesema askofu huyo