Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,123
- 39,335
Ndio maana ninyi mkaifunga makkah?
Hivi ktk uislamu hamnaga kabisa mambo ya uponyaji eeh?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ktk uislamu hamnaga kabisa mambo ya uponyaji eeh?
Ni kweli , hata hakuna haja ya kunawa mikono na kuvaa barkoa kwani ikiwa wao na wewe ni Mkristo wa kweli ni lazima uyakumbuke maneno ya Yesu aliposema
Bwana akasema: “Kama mngekua na imani kiasi cha chembe ya haridali mngeuambia mkuyu huu, ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.” (Luka17:7).
Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia mkiwa na imani , msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, ngo'ka ukatupwe baharini, litatendeka. na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.
(Mathayo 21:21-22)
SASA TUNAKUOMBA WEWE KAMA UNAYO KWELI IMANI BASI ANZA KUIAMBIA KORONA ONDOKA ULIMWENGUNI ,
ILI TUPATE NAFUU , VYENGINEVYO NA WEWE UTAKUWA NI MMOJA WA MATAPELI TU NA WALA HUNA IMANI YOYOTE NA YESU NnA WALA WEWE SI MKRISTO
Sent using Jamii Forums mobile app