daza steven
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 359
- 357
Usiwe mkali kiongozi jamaa alitakiwa akujuze tu, nikuwa papa anazaidi ya mwezi amelifunga kanisa itali na amejifungia ndani hatoki nje ibada anafanyia ndaniYani ulivyo tutusa unataka mimi niwaze kama wewe ?
Kwani papa anashindwa nini kuingilia?
Yanayoendelea Italy sio Tanzania
Usije ukafiri unauwezo mkubwa wa kuyatafakari mambo kumbe umejaa ujinga tu kichwani mwako
Shika adabu yako usinizoee
Sent using Jamii Forums mobile app