Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
Kakatika uzinduzi wa albamu ya kamata pindo la Yesu ikiyofanyika leo ukumbi wa Diamond Jubilee Askofu Dastani Maboya wakanisa la Assembulss of God ambaye amewataka watanzania kuwaheshimu wazee na kuwaenzi kwani hata kiti cha enzi cha Mungu kimezungukwa na wazee 24 Rose mhando baada ya uzinduzi amemtaka sumaye asiogope kwani Tanzania inamhitaji mtu kama yeye maelfu kwa mamia walishangilia Sumaye wakati akisisitiza jambo juu ya katiba mpya kuwa baada ya misuguano hii basi katiba itakuwa mzuri