THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,373
- 12,822
Nimefurahi kuona Polepole akili zikimrudi
Pole pole hajawahi kuwa na akili tuh since then,tokea yupo kigoda Cha mwalim nyerere alipokawa anapiga domo kwa mgongo wa kina Mzee butiku had aliopoonwa na Magufuli na kufungwa mdomo hakuwahi kuwa na akili,
Hivi sasa kilichomrudia siyo akili,ni Njaa na mamlaka na audience....jitu la hovyo Sana