Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
- Thread starter
- #61
Nimekosa mimi.. Nimekosa sana...Halafu leo hii anatuomba msamaha wananchi. Huyu mzee ni mnafki na sio wa kumuamini kabisa.
Ni mchumia tumbo mkuhwa na hapo keshokeshokutwa ikitokea hiyo mikopo imeenda mrama atajisifu ku alisema .