Ingekua kenya huyu angeshatwangwa makondeTuna spika dhaifu sana tangu Bunge lianzishwe..ukweli hakua mweledi 2015-20 lakini haikumzuia yeye kubadilika 2021-25 kutumia kiti chake kuichallenge serikali na kua mtenda haki ila alichofanya ni udhaifu mkubwa sana na kama yeye kama kiongozi wa bunge ameufyata vipi hao wabubge wengine?.
Ndugai ameharibu zaidi kuliko kutengeneza ,hii imeonesha jinsi gani hawa watu wako kwa maslahi ya matumbo yao.
#katiba mpya spika asitokane na chama chochote.