Askofu Mwamakula: Nani atamtangazia Ghofira/Msamaha wa Dhambi (absolution) Spika Ndugai?

Tuna spika dhaifu sana tangu Bunge lianzishwe..ukweli hakua mweledi 2015-20 lakini haikumzuia yeye kubadilika 2021-25 kutumia kiti chake kuichallenge serikali na kua mtenda haki ila alichofanya ni udhaifu mkubwa sana na kama yeye kama kiongozi wa bunge ameufyata vipi hao wabubge wengine?.


Ndugai ameharibu zaidi kuliko kutengeneza ,hii imeonesha jinsi gani hawa watu wako kwa maslahi ya matumbo yao.

#katiba mpya spika asitokane na chama chochote.
Ingekua kenya huyu angeshatwangwa makonde
 
kwa maelezo yako bwana jobo itabidi kutangaziwa kwake msamaha kuhusike na wananchi wa nchi ya wanyonge au Mungu muumba mbingu na dunia.

baada ya kukiri kosa ameomba msamaha kwa watanzania na Mungu ..hakuna mahali amemuomba msamaha raia wa JMT.hivyo basi nikiwa kama mwananchi nawakilisha watanzania wote kwa kumwambia hatujamsamehe kwa huo msamaha wake wa mchongo

unawezaje kuomba msamaha ikiwa hujakubali makosa uliyofanya. Job ameamua kumbeza mama haiwezekani ukatae kosa lako mwenyewe afu uombe msamaha tena.pia jamaa ni dhaifu kweli hivyo anaongoza wadhaifu wenzake pale centre ya nchi. Ameamua kuomba msamaha pamoja na kuelewa yuko sahihi.
baada ya kukiri kosa ameomba msamaha kwa watanzania na Mungu ..hakuna mahali amemuomba msamaha raia wa JMT.hivyo basi nikiwa kama mwananchi nawakilisha watanzania wote kwa kumwambia hatujamsamehe kwa huo msamaha wake wa mchongo
 
baada ya kukiri kosa ameomba msamaha kwa watanzania na Mungu ..hakuna mahali amemuomba msamaha raia wa JMT.hivyo basi nikiwa kama mwananchi nawakilisha watanzania wote kwa kumwambia hatujamsamehe kwa huo msamaha wake wa mchongo
Ameomba msamaha kwa watanzania wote. Mimi kwa niaba ya michepuko yangu yote nasema tumemsamehe lakini hatutamsahau
 
naona unaenyoy demokrasia mkuu...

Ndugai ni spika wa Bunge, Baba wa watoto na familia, ana ndugu zake na jamaa wengine wako humuhumu..
Naye aache uhuni wakutembea na bakora kuchapa watia nia wenzake.
Ndio maana anadharaulika na wahuni hadi wanamtusi
 
NDUGAI AJIUZURU KABLA HAJAFUKUZWA!

Heshima iliyobaki kwa Spika Ndugai ni yeye kujiuziru kabla CCM haijamfukuza. Sisi Askofu tulipomshauri anyamaze, lakini yeye akaamua kuomba msamaha wa kinafiki! Alikolalia ndiko wenzake walikoamkia, wamegundua kuwa ule msamaha haukuwa wa dhati, Rais 'kambalasa' hadharani. Asipokuwa makini ataondolewa kama mpangaji mdaiwa sugu! Mashujaa siku husimamia misimamo yao na kamwe hawapigi magoti kuyakana wanayosimamia. Misimamo ya Samweli Sutta ilimfanya apoteze Uspika, lakini aliendelea kuheshimika. Walio karibu na Ndugai wampelekee ushauri huu wa Askofu Mwamakula haraka sana kama wanampenda!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
 
Back
Top Bottom