sawa mkuuMwambie asirudie tena, mimi na mama tutampoteza....
Alishauriwa akae kimya .. Hakusikia na kama ni kuomba radhi angeenda direct kwa mhusika na bila PCTuna spika dhaifu sana tangu Bunge lianzishwe..ukweli hakua mweledi 2015-20 lakini haikumzuia yeye kubadilika 2021-25 kutumia kiti chake kuichallenge serikali na kua mtenda haki ila alichofanya ni udhaifu mkubwa sana na kama yeye kama kiongozi wa bunge ameufyata vipi hao wabubge wengine?.
Ndugai ameharibu zaidi kuliko kutengeneza ,hii imeonesha jinsi gani hawa watu wako kwa maslahi ya matumbo yao.
#katiba mpya spika asitokane na chama chochote.
Dua za Prof Assad naona zimemfikia Maulana....Hahaahahaa
Leo ndio nimeamini kumbe hata vichaa kumbe wanaomba msamaha..
Yawezekana CDF alimpigia simu JOBO na kumwambia "mwana inakuwaje unamzengua bosi wangu?" Ikabidi JOBO astuke. Sasa JOBO akanyanyua Simu kwa Pengo kuomba ushauri. Pengo akamwambia "Mwanangu umekosea, kaungame".... ndio ikaibuka ungamo la dhambi. NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANANa huko ndani fukuto ni kali sana
Si anasema alikuwa anaumwa? Labda alikuwa Mirembe anakula doziInategemea na asilimia
Pengo akamwambia "Mwanangu umekosea, kaungame".... ndio ikaibuka ungamo la dhambi. NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANAYawezekana CDF alimpigia simu JOBO na kumwambia "means inakuwaje unamzengua bosi wangu?" Ikabidi JOBO. Sasa JOBO akanyanyua Simu kwa Pengo kuomba ushauri. Pengo akamwambia "Mwanangu umekosea, kaungame".... ndio ikaibuka ungamo la dhambi. NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA
Jobo alidhani anapambana na mwanamke, kumbe anapambana na Amiri Jeshi Mkuu...Maji yakikorogeka kichaa kinaingia mitini kwa muda
Hapo sasa nani wakusamehe ndo mtihani na makosa aliyotenda ni kwa chama chake tu au na wengine"Nimekosa Mimi! Nimekosa Sana! Nimekosa Mimi! Mungu Anisamehe"! Ni toba ya mwisho kabisa katika 'Kanisa Katholico na la Kimitume' (Orthodox Catholic, Roman Catholic, Moravian, Anglican na Lutheran) inayoweza kufanywa na kuhani hadharani. Ni toba inayoelekezwa kwa Mungu peke yake ingawa husemwa hadharani. Msemaji anakuwa anasema huku akiwa anajipiga kifua kila akisema na hutamkwa mara tatu na hivyo anayetubu hujipiga kifua mara tatu! Toba ya aina hiyo haihojiwi na mtu ye yote na mamlaka za juu za dini ndizo hutangaza msamaha au ghofira (absolution)!
Kwa ujumla, Msemaji wa toba ya aina hiyo hujutia yote aliyowahi kuyasema na kuyatenda ikiwemo uasi dhidi ya Mungu na uasi dhidi ya Kanisa. Uzito wa toba hiyo hufananishwa na maungamo ya waumini katika madhehebu ya Roman Catholic, Anglican, Moravian, Orthodox Catholic na Lutheran. Maungamo hayo mara zote hutolewa mara tu baada ya ibada kuanza na hufuatiwa na ghofira au tangazo la msamaha wa dhambi linalotolewa na Padre au Mchungaji au Kasisi au Padre au Aakofu.
Mara nyingi ghofira au msamaha huo hutangazwa kwa waumini na Mchungaji au Kasisi au Padre au Askofu mwenye daraja la juu zaidi kati ya watumishi waliohudhuria ibada! Swali Hapa ni kuwa: "Je, katika haya majuto ya Spika Ndugai, ni nani anatakiwa kutoa ghofira au kumtangazia msamaha wa dhambi hadharani?"! Je, ni Kasisi wake, au Askofu wake? Je, Rais Samia anayo mamlaka ya kutoa ghofira au kutangaza msamaha wa dhambi kwa muumini mwingine? Bila ghofira kutolewa, majuto ya Ndugai yanabaki kuwa kalata ya kisiasa ili aendelee kuishi katika Bahari ya siasa za CCM!
Mutatis mutandis! Nampongeza Ndugai kuona mapungufu yake na kuomba radhi badala ya kuendeleza malumbano. Amefuata maneno ya Yesu aliyesema, ukiona Jeshi lako ni dogo kuliko Jeshi la adui yako basi nenda katafute amani kwake kwa kupatana naye kabla yeye hajakushukia na kukuangamiza!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile MwamakulaView attachment 2067234
Hii sala ya 'nakuungamia Mungu Mwenyezi' huwa tunaisema mwanzoni tu mwa ibada kwa wakatoliki......tatizo kwa case ya ndugai hapakuwepo padri kuhitimisha hiyo sala."Nimekosa Mimi! Nimekosa Sana! Nimekosa Mimi! Mungu Anisamehe"! Ni toba ya mwisho kabisa katika 'Kanisa Katholico na la Kimitume' (Orthodox Catholic, Roman Catholic, Moravian, Anglican na Lutheran) inayoweza kufanywa na kuhani hadharani. Ni toba inayoelekezwa kwa Mungu peke yake ingawa husemwa hadharani. Msemaji anakuwa anasema huku akiwa anajipiga kifua kila akisema na hutamkwa mara tatu na hivyo anayetubu hujipiga kifua mara tatu! Toba ya aina hiyo haihojiwi na mtu ye yote na mamlaka za juu za dini ndizo hutangaza msamaha au ghofira (absolution)!
Kwa ujumla, Msemaji wa toba ya aina hiyo hujutia yote aliyowahi kuyasema na kuyatenda ikiwemo uasi dhidi ya Mungu na uasi dhidi ya Kanisa. Uzito wa toba hiyo hufananishwa na maungamo ya waumini katika madhehebu ya Roman Catholic, Anglican, Moravian, Orthodox Catholic na Lutheran. Maungamo hayo mara zote hutolewa mara tu baada ya ibada kuanza na hufuatiwa na ghofira au tangazo la msamaha wa dhambi linalotolewa na Padre au Mchungaji au Kasisi au Padre au Aakofu.
Mara nyingi ghofira au msamaha huo hutangazwa kwa waumini na Mchungaji au Kasisi au Padre au Askofu mwenye daraja la juu zaidi kati ya watumishi waliohudhuria ibada! Swali Hapa ni kuwa: "Je, katika haya majuto ya Spika Ndugai, ni nani anatakiwa kutoa ghofira au kumtangazia msamaha wa dhambi hadharani?"! Je, ni Kasisi wake, au Askofu wake? Je, Rais Samia anayo mamlaka ya kutoa ghofira au kutangaza msamaha wa dhambi kwa muumini mwingine? Bila ghofira kutolewa, majuto ya Ndugai yanabaki kuwa kalata ya kisiasa ili aendelee kuishi katika Bahari ya siasa za CCM!
Mutatis mutandis! Nampongeza Ndugai kuona mapungufu yake na kuomba radhi badala ya kuendeleza malumbano. Amefuata maneno ya Yesu aliyesema, ukiona Jeshi lako ni dogo kuliko Jeshi la adui yako basi nenda katafute amani kwake kwa kupatana naye kabla yeye hajakushukia na kukuangamiza!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile MwamakulaView attachment 2067234
Msamaha wa Jobo una walakini mkubwa..Hapo sasa nani wakusamehe ndo mtihani na makosa aliyotenda ni kwa chama chake tu au na wengine
Kwa hiyo huu msamaha umeombwa kwa watanzania na kwa Mungu, siyo kwa chifu kama chifu......Msamaha wa Jobo una walakini mkubwa..
. Kamuomba Mungu msamaha .. Je alimkosea? Nini?
. Kawaomba watanzania msamaha.. Je ndio aliwakosea? Pengine hapo zamani na baadae lakini sio sasa...
Hii ngoma bado mbichi