Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
EWE HAI! SIKIA SAUTI YA ASKOFU!
Kuna nini huko Hai ya Kilimanjaro? Mbona sauti za wana wa Hai zenye huzuni zinapiga kelele? Je, watawala wako ee Hai wanafurahia hali hiyo?! Ewe Hai! Usifurahie kuona hata damu ya mwanao mmoja ikimwagika! Ole kwako Hai kama ardhi yako itakubali kunywa damu ya wana wako, kwa sababu tu wakuu wako wanakugombania!
Wanaokugombania kwa gharama za maisha ya wanao hawataweza kukuona kwa kuwa BWANA Mungu wa Majeshi atawakatilia mbali wote wanaopanga njama na mikakati ya kutekeleza fujo, vurugu, na mauaji katika ardhi yako! Lakini, nafasi bado ingalipo! Geuka! Acha njia zako mbaya! Usipotubu, na kuacha njia zako mbaya, utakatiliwa mbali (Ezekieli 33:1-20)!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Watu kama hawa ndiyo wanatufaa kuongoza na kuitwa mchungaji. Siyo wale wafuata ubwawa kwa Maharage.
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania
Kuna nini huko Hai ya Kilimanjaro? Mbona sauti za wana wa Hai zenye huzuni zinapiga kelele? Je, watawala wako ee Hai wanafurahia hali hiyo?! Ewe Hai! Usifurahie kuona hata damu ya mwanao mmoja ikimwagika! Ole kwako Hai kama ardhi yako itakubali kunywa damu ya wana wako, kwa sababu tu wakuu wako wanakugombania!
Wanaokugombania kwa gharama za maisha ya wanao hawataweza kukuona kwa kuwa BWANA Mungu wa Majeshi atawakatilia mbali wote wanaopanga njama na mikakati ya kutekeleza fujo, vurugu, na mauaji katika ardhi yako! Lakini, nafasi bado ingalipo! Geuka! Acha njia zako mbaya! Usipotubu, na kuacha njia zako mbaya, utakatiliwa mbali (Ezekieli 33:1-20)!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Watu kama hawa ndiyo wanatufaa kuongoza na kuitwa mchungaji. Siyo wale wafuata ubwawa kwa Maharage.
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania