mimi kwa askofu ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu, lakini lazima tukubali kuwa ktk utawawala wa makanisa yetu tutapa viongozi ambao wako tayari kutumia joho la kuwaongoza konndooo wa bwana kwa manufaa ya kisiasa. Naamini askofu wetu amepotoka hapa, hebu washauri wake wa karibu wamsaidie arekebishe suala hili. kwani anglican tulishateswa na mzimu wa mashoga iweje leo tuanze kusumbuka na haya