Askofu Malasusa: Tarehe 28/11/2021 itakuwa ni siku ya kuombea Mvua kwa Makanisa yote ya KKKT - DMP

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,532
141,335
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Malasusa amesema Jumapili ya tarehe 28/11 itakuwa siku ya kuomba baraka ya mvua kwa ajili ya Tanzania na dunia.

Askofu Malasusa amesema Tanzania ni kimbilio la wengi hivyo tutaomba baraka za Mungu ili kama tulivyowahi kuwalisha Zimbabwe kwa mahindi basi baraka hizo ziendelee kutenda kazi ndani yetu sote.

Mungu ni mwema wakati wote!

Source: Upendo tv
 
Inabidi tuanzia hapa kwanza...hata wana waisrael walipomkosea Mungu mvua hazikunyesha ila walipo tubu na kuacha maovu na kufuata sheria na amri za Mungu mvua linyesha na walivuna mazao mengi.

Viongozi watende haki..na wakemee maovu wawe mfano wa kuigwa.

#MaendeleoHayanaChama

JamiiForums1611188087.jpg
 
Huyu alikuwa ni kati ya watumishi wa Makonda. Sijui wasiojulikana ilikuwa ni dini gani, maana hiyo kasisi wao mkuu alikuwa Makonda.
 
Dhulma sio kukamatwa Mbowe tu. Mbowe mwenyewe ana machafu mengi anatakiwa kutubu.
Mbowe na genge lake halina uwezo wa kuzuia mvua popote pale, acheni kudandia magari kwa mbele!
 
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Malasusa amesema Jumapili ya tarehe 28/11 itakuwa siku ya kuomba baraka ya mvua kwa ajili ya Tanzania na dunia.

Askofu Malasusa amesema Tanzania ni kimbilio la wengi hivyo tutaomba baraka za Mungu ili kama tulivyowahi kuwalisha Zimbabwe kwa mahindi basi baraka hizo ziendelee kutenda kazi ndani yetu sote.

Mungu ni mwema wakati wote!

Source: Upendo tv
Hajaacha uchawa huyu jamaa
 
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Malasusa amesema Jumapili ya tarehe 28/11 itakuwa siku ya kuomba baraka ya mvua kwa ajili ya Tanzania na dunia.

Askofu Malasusa amesema Tanzania ni kimbilio la wengi hivyo tutaomba baraka za Mungu ili kama tulivyowahi kuwalisha Zimbabwe kwa mahindi basi baraka hizo ziendelee kutenda kazi ndani yetu sote.

Mungu ni mwema wakati wote!

Source: Upendo tv
Doctor?huu wa uchawi nini?just curiosity
 
Empty setii hawa wanaojuiita watumishi wa MUNGU
Sayansi iseme global warming wao wamsumbue mungu kwa ujinga wa mwanadamu
Mungu ana mombo mengi sana ya kushughulika nayo
 
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Malasusa amesema Jumapili ya tarehe 28/11 itakuwa siku ya kuomba baraka ya mvua kwa ajili ya Tanzania na dunia.

Askofu Malasusa amesema Tanzania ni kimbilio la wengi hivyo tutaomba baraka za Mungu ili kama tulivyowahi kuwalisha Zimbabwe kwa mahindi basi baraka hizo ziendelee kutenda kazi ndani yetu sote.

Mungu ni mwema wakati wote!

Source: Upendo tv
Sawa ombeni, lakini mjue mvua zitaanza kunyesha kuanzia mwanzo December, kwa mpangilio wa geografia, si kwa maombi yenu.
 
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Malasusa amesema Jumapili ya tarehe 28/11 itakuwa siku ya kuomba baraka ya mvua kwa ajili ya Tanzania na dunia.

Askofu Malasusa amesema Tanzania ni kimbilio la wengi hivyo tutaomba baraka za Mungu ili kama tulivyowahi kuwalisha Zimbabwe kwa mahindi basi baraka hizo ziendelee kutenda kazi ndani yetu sote.

Mungu ni mwema wakati wote!

Source: Upendo tv
Kwani huyo malasusa ndio Kiongozi wa KKKT Tanzania? Shoo yuko wapi?

Huko KKKT seems kila mtu ni kambale,ona hapa 👇

Screenshot_20211124-120522.png
 
Wajibu wa kanisa kuhusu ukame lazima likemee uharibifu wa mazingira.Pia liwajibike kuyaboresha. Tusisubiri mazingira yaharbiwe halafu tuitishe maombi.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuzingatia kalenda ya mwezi (moon calendar) wiki ijayo tarehe kama ya leo au kabla ni siku ambayo mbaramwezi/mwezi mchanga utaonekana. Kwenye mazingira kama hayo lazima mvua inyeshe. Mufti naye alitegeshea kwenye mwezi 15 ikanyesha kanda ya ziwa lakini mikoa ya pwani haikuambulia kitu.
 
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Malasusa amesema Jumapili ya tarehe 28/11 itakuwa siku ya kuomba baraka ya mvua kwa ajili ya Tanzania na dunia.

Askofu Malasusa amesema Tanzania ni kimbilio la wengi hivyo tutaomba baraka za Mungu ili kama tulivyowahi kuwalisha Zimbabwe kwa mahindi basi baraka hizo ziendelee kutenda kazi ndani yetu sote.

Mungu ni mwema wakati wote!

Source: Upendo tv
Kwani utabiri wa hali ya hewa unasemaje hiyo tarehe husika. Isije ikawa forecast imenyooka kuanzia next month mvua za Christmas halafu watutapeli na maombi.

Anyway, ni Tanzania tu na nchi zetu hizi za sedi wedi ndio tunaombaga mvua wakati weather forecast zipo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Utabiri wa Hali ya hewa kupitia AccuWeather unaonesha patakua na mvua kuanzia ijumaa Hadi 5/disemba
 
Kwani utabiri wa hali ya hewa unasemaje hiyo tarehe husika. Isije ikawa forecast imenyooka kuanzia next month mvua za Christmas halafu watutapeli na maombi.

Anyway, ni Tanzania tu na nchi zetu hizi za sedi wedi ndio tunaombaga mvua wakati weather forecast zipo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Itakua kachungulia aljazeera forecasting, anataka kutupiga kama enzi na nyerere na ndoto zake😅😅
 
Kwani huyo malasusa ndio Kiongozi wa KKKT Tanzania? Shoo yuko wapi?

Huko KKKT seems kila mtu ni kambale,ona hapa 👇

View attachment 2021799
Bora hata hawa wanatupiana viti, ndani ya ukristo pahala pengine mtu anasimama kwa utashi wake mwenyewe anasema jambo na halipingwi hata kwa logic ya kawaida tu na ukipinga waumini wake watakuvagaa kama nzige wekundu wa jangwani😂. Baada ya miaka 70 inagundulika watoto walinajisiwa na makasisi lakini si kwamba haikujulikana ila aliyefanya ni mtu nusu mtakatifu
 
Back
Top Bottom