Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Iliripotiwa hapa JF kuwa baba askofu Moses Kulolwa atafanya mahojiano yatakayoonyeshwa katika vituo vya television kwa gharama za CCM. Naona kweli huyu mzee amekamilisha kazi yake aliyoiita 'kazi ya Mungu'. Jana alionakana kwenye TV akisema kuwa wanaompinga au kumuasi au kumuombea 'mfalme' (Kikwete) aliyepo madarani aondolewe wanafanya kazi za shetani...