Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Askofu Elias Kitoi wa kanisa la KKKT Meru leo anasimikwa rasmi kuukwaa uaskofu kwa kipindi cha miaka 25.
Ibada ya tukuo hilo inafanyika muda huu katika kanisa hilo dayosisi ya Meru, Leganga, Usa river,wilayani Aruneru ikitanguliwa na maandamano, wageni mbalimbali mashuhuri wameshawasili kanisani hapo.
Ibada ya tukuo hilo inafanyika muda huu katika kanisa hilo dayosisi ya Meru, Leganga, Usa river,wilayani Aruneru ikitanguliwa na maandamano, wageni mbalimbali mashuhuri wameshawasili kanisani hapo.