Askofu Kitoi wa kanisa la KKKT Meru kusimikwa rasmi leo

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Askofu Elias Kitoi wa kanisa la KKKT Meru leo anasimikwa rasmi kuukwaa uaskofu kwa kipindi cha miaka 25.

Ibada ya tukuo hilo inafanyika muda huu katika kanisa hilo dayosisi ya Meru, Leganga, Usa river,wilayani Aruneru ikitanguliwa na maandamano, wageni mbalimbali mashuhuri wameshawasili kanisani hapo.
531e727abc516e2d34da82be01a11b2a.jpg
 
Asante kwa taarifa ila jitahid kusoma unachoaandika kabla hujapost huu, endele kutujuza kwa usahihi zaidi.
Tupia picha ya matukio yote then tufahamishe hao wagen mashuhur ni nan? Majina yao tafadhal.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom