Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 869
- 652
Wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye hoja. Imezoeleka kwa muda mrefu sana kuwa vyou vinavyo milikiwa na makanisa ni vyuo bora vyenye kujali utu na malezi bora. lakini ukweli ni kwamba baadhi ya vyuo hivi vya dini vina uovu mwingi usioelezeka.
Chuo cha Tosamaganga Iringa ni moja ya chuo chenye uongozi mbaya sana hasa baadhi ya wasimamizi wake wakuu yani Masister.
Askofu wa jimbo hili jaribu kutenganisha uongozi wa chuo (administration) na umiliki hiki. Chuo kipo chini yako sisi wazazi tunatoa pesa zetu lakini wanachuo wanaishi ovyo sana pale. Chakula wanacho kula hakikidhi kabisa vigezo pamoja na mambo mengine.
Wanachuo wamekuwa na malalamiko kwa muda mrefu mno. Kinaonekana chuo cha kanisa lakini kinavyo endeshwa ni moja ya chuo cha ovyo sana. Malalamiko haya ya watoto wetu ina maana hamjayapata kweli? Kuna nini hapa kati na Ma sisister wale na waendeshaji wakuu kwa maana ya jimbo la Iringa?
Tunakusihihi askofu ,chuo hicho kichunguzwe kuna mambo mengi yako pele yanasikitisha mno ni suala la kufuatilia tu na ikumbukwe ni chuo kilicho chini ya kanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye hoja. Imezoeleka kwa muda mrefu sana kuwa vyou vinavyo milikiwa na makanisa ni vyuo bora vyenye kujali utu na malezi bora. lakini ukweli ni kwamba baadhi ya vyuo hivi vya dini vina uovu mwingi usioelezeka.
Chuo cha Tosamaganga Iringa ni moja ya chuo chenye uongozi mbaya sana hasa baadhi ya wasimamizi wake wakuu yani Masister.
Askofu wa jimbo hili jaribu kutenganisha uongozi wa chuo (administration) na umiliki hiki. Chuo kipo chini yako sisi wazazi tunatoa pesa zetu lakini wanachuo wanaishi ovyo sana pale. Chakula wanacho kula hakikidhi kabisa vigezo pamoja na mambo mengine.
Wanachuo wamekuwa na malalamiko kwa muda mrefu mno. Kinaonekana chuo cha kanisa lakini kinavyo endeshwa ni moja ya chuo cha ovyo sana. Malalamiko haya ya watoto wetu ina maana hamjayapata kweli? Kuna nini hapa kati na Ma sisister wale na waendeshaji wakuu kwa maana ya jimbo la Iringa?
Tunakusihihi askofu ,chuo hicho kichunguzwe kuna mambo mengi yako pele yanasikitisha mno ni suala la kufuatilia tu na ikumbukwe ni chuo kilicho chini ya kanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app