Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza atoa Salaam za Mwaka Mpya

Jesca hon

Member
Jan 9, 2019
8
59
Adjustments.jpg

MRADI MKUBWA WA KUJENGA TAIFA 2021

Mwaka 2020 umemalizika. Tunaanza mwaka mpya wa 2021.
Ipo miradi mingi mikubwa ya kitaifa inaendelea. Tunamshukuru Mungu miradi mikubwa ya madaraja, reli, barabara, viwanja vya ndege, ndege, vyuo vikuu na kufua umeme inaendelea vizuri na kukamilika kwake kutainua uchumi wa taifa letu.

Tutakumbuka Baba wa Taifa alitumia muda mrefu katika mradi wa kujenga taifa. Awamu zilizofuata zilitumia muda mwingi kujenga uchumi, miundombinu, elimu, afya, mifumo ya kiutumishi, na hata mihimili ya dola. Awamu hii imefanana na awamu ya baba wa taifa kwani imejikita kujenga miradi ya taifa ambayo itainua uchumi wa Taifa la Tanzania. Yote haya ni mazuri kwa ustawi wa taifa letu

Afya ya taifa hivi sasa ni nzuri. Taifa letu limekuwa ni mfano wa kuigwa kwa mataifa ya Afrika na mabara mengine, kwani tumemtegemea Mungu na kumuita naye akatuvusha katika ugonjwa wa COVID-19 uliotaka kushambulia moyo wa taifa, mapafu ya taifa, figo za taifa, miguu ya taifa, midomo ya taifa, na hata macho ya taifa. Mungu ameonekana na kutuondoa kwenye mauti ya ugonjwa huo na hata sasa tuendelee kumuomba Mungu ili aendelee kuliepusha taifa letu na ugonjwa huo.

Kama taifa Mungu ametuonesha kuwa yeye ni msingi wa ustawi wetu, basi 2021 tusimame na Mungu naye atakuwa msingi wa kila jambo la maendeleo yetu.

Ipo haja ya kuendelea kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa taifa letu kwa umoja pasipo kujaji utofauti wa itikadi za kisiasa. Kwani Taifa halijengwi kwa mawe na matofali. Linajengwa kwa umoja wetu, kusikilizana, kuelewana, kusameheana, kuonyana na kuheshimiana.

Miradi mingi ikijengwa juu ya taifa imara, ni sawa na kujenga nyumba kwenye mwamba. Mafuriko na dhuruba zikija haiwezi kuporomoka. Taifa kama ilivyo nyumba, hulindwa na uimara wa misingi ya umoja. Mungu alilinde taifa letu, aviongoze vikosi kazi vya ulinzi na kuvipa ufanisi wa kulitumikia taifa.

Kwa hekima yote, ninasihi na kuombea miradi ya taifa ifanikiwe. Kwani itajenga uchumi, itachochea amani, italinda madaraja, viwanda, na hata kukaribisha wawekezaji wasio wanyonyaji.

HAYA SHIME WANA NA MABINTI WA MAMA TANZANIA. TUMUOMBE MUNGU ALILINDE TAIFA LETU.
 
Naona Askofu Bagonza kaanza mwaka mpya kwa kuikana imani ya Kikiristo

Jina lake la Ubatizo anaitwa Benson naona kalikana jina la kwanza kaweka jina la kipagani la Kalikawa yale yale ya Tundu Lisu ambaye alikana jina lake la mwanzo ubatizo na kujiita la kipagani la TUNDU

Na Yesu alisema ukinikana mbele za watu na mimi nitakukana Lisu akakanwa na Yesu MBELE YA WAPIGA KURA KAMA YEYE ALIVYOMKANA
 
Leo ndiyo nimeanza kuona kama umemruhusu Mungu arudi Kwenye akili zako na kuwa viongozi wa kiroho. HERI YA MWAKA MPYA BABA ASKOFU. KEEP UP
 
Naona Askofu Bagonza kaanza mwaka mpya kwa kuikana imani ya Kikiristo

Jina lake la Ubatizo anaitwa Benson naona kalikana jina la kwanza kaweka jina la kipagani la Kalikawa yale yale ya Tundu Lisu ambaye alikana jina lake la mwanzo ubatizo na kujiita la kipagani la TUNDU

Na Yesu alisema ukinikana mbele za watu na mimi nitakukana Lisu akakanwa na Yesu MBELE YA WAPIGA KURA KAMA YEYE ALIVYOMKANA
Huu upuuzi gani umeandika hapa?

Wapo wengi wenye imani ya kikristu wenye majina ya kwao, kuwa mkristu sio lazima uwe na jina la kizungu, dini ni imani sio jina, siku nyingine ficha upumbavu wako.
 
View attachment 1664411
MRADI MKUBWA WA KUJENGA TAIFA 2021

Mwaka 2020 umemalizika. Tunaanza mwaka mpya wa 2021.
Ipo miradi mingi mikubwa ya kitaifa inaendelea. Tunamshukuru Mungu miradi mikubwa ya madaraja, reli, barabara, viwanja vya ndege, ndege, vyuo vikuu na kufua umeme inaendelea vizuri na kukamilika kwake kutainua uchumi wa taifa letu.

Tutakumbuka Baba wa Taifa alitumia muda mrefu katika mradi wa kujenga taifa. Awamu zilizofuata zilitumia muda mwingi kujenga uchumi, miundombinu, elimu, afya, mifumo ya kiutumishi, na hata mihimili ya dola. Awamu hii imefanana na awamu ya baba wa taifa kwani imejikita kujenga miradi ya taifa ambayo itainua uchumi wa Taifa la Tanzania. Yote haya ni mazuri kwa ustawi wa taifa letu

Afya ya taifa hivi sasa ni nzuri. Taifa letu limekuwa ni mfano wa kuigwa kwa mataifa ya Afrika na mabara mengine, kwani tumemtegemea Mungu na kumuita naye akatuvusha katika ugonjwa wa COVID-19 uliotaka kushambulia moyo wa taifa, mapafu ya taifa, figo za taifa, miguu ya taifa, midomo ya taifa, na hata macho ya taifa. Mungu ameonekana na kutuondoa kwenye mauti ya ugonjwa huo na hata sasa tuendelee kumuomba Mungu ili aendelee kuliepusha taifa letu na ugonjwa huo.

Kama taifa Mungu ametuonesha kuwa yeye ni msingi wa ustawi wetu, basi 2021 tusimame na Mungu naye atakuwa msingi wa kila jambo la maendeleo yetu.

Ipo haja ya kuendelea kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa taifa letu kwa umoja pasipo kujaji utofauti wa itikadi za kisiasa. Kwani Taifa halijengwi kwa mawe na matofali. Linajengwa kwa umoja wetu, kusikilizana, kuelewana, kusameheana, kuonyana na kuheshimiana.

Miradi mingi ikijengwa juu ya taifa imara, ni sawa na kujenga nyumba kwenye mwamba. Mafuriko na dhuruba zikija haiwezi kuporomoka. Taifa kama ilivyo nyumba, hulindwa na uimara wa misingi ya umoja. Mungu alilinde taifa letu, aviongoze vikosi kazi vya ulinzi na kuvipa ufanisi wa kulitumikia taifa.

Kwa hekima yote, ninasihi na kuombea miradi ya taifa ifanikiwe. Kwani itajenga uchumi, itachochea amani, italinda madaraja, viwanda, na hata kukaribisha wawekezaji wasio wanyonyaji.

HAYA SHIME WANA NA MABINTI WA MAMA TANZANIA. TUMUOMBE MUNGU ALILINDE TAIFA LETU.
Reference?

Askofu Bagonza hawezi kuwa ameandika huu utumbo wa ki MATAGA. No bloody way!
 
View attachment 1664411
MRADI MKUBWA WA KUJENGA TAIFA 2021

Mwaka 2020 umemalizika. Tunaanza mwaka mpya wa 2021.
Ipo miradi mingi mikubwa ya kitaifa inaendelea. Tunamshukuru Mungu miradi mikubwa ya madaraja, reli, barabara, viwanja vya ndege, ndege, vyuo vikuu na kufua umeme inaendelea vizuri na kukamilika kwake kutainua uchumi wa taifa letu.

Tutakumbuka Baba wa Taifa alitumia muda mrefu katika mradi wa kujenga taifa. Awamu zilizofuata zilitumia muda mwingi kujenga uchumi, miundombinu, elimu, afya, mifumo ya kiutumishi, na hata mihimili ya dola. Awamu hii imefanana na awamu ya baba wa taifa kwani imejikita kujenga miradi ya taifa ambayo itainua uchumi wa Taifa la Tanzania. Yote haya ni mazuri kwa ustawi wa taifa letu

Afya ya taifa hivi sasa ni nzuri. Taifa letu limekuwa ni mfano wa kuigwa kwa mataifa ya Afrika na mabara mengine, kwani tumemtegemea Mungu na kumuita naye akatuvusha katika ugonjwa wa COVID-19 uliotaka kushambulia moyo wa taifa, mapafu ya taifa, figo za taifa, miguu ya taifa, midomo ya taifa, na hata macho ya taifa. Mungu ameonekana na kutuondoa kwenye mauti ya ugonjwa huo na hata sasa tuendelee kumuomba Mungu ili aendelee kuliepusha taifa letu na ugonjwa huo.

Kama taifa Mungu ametuonesha kuwa yeye ni msingi wa ustawi wetu, basi 2021 tusimame na Mungu naye atakuwa msingi wa kila jambo la maendeleo yetu.

Ipo haja ya kuendelea kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa taifa letu kwa umoja pasipo kujaji utofauti wa itikadi za kisiasa. Kwani Taifa halijengwi kwa mawe na matofali. Linajengwa kwa umoja wetu, kusikilizana, kuelewana, kusameheana, kuonyana na kuheshimiana.

Miradi mingi ikijengwa juu ya taifa imara, ni sawa na kujenga nyumba kwenye mwamba. Mafuriko na dhuruba zikija haiwezi kuporomoka. Taifa kama ilivyo nyumba, hulindwa na uimara wa misingi ya umoja. Mungu alilinde taifa letu, aviongoze vikosi kazi vya ulinzi na kuvipa ufanisi wa kulitumikia taifa.

Kwa hekima yote, ninasihi na kuombea miradi ya taifa ifanikiwe. Kwani itajenga uchumi, itachochea amani, italinda madaraja, viwanda, na hata kukaribisha wawekezaji wasio wanyonyaji.

HAYA SHIME WANA NA MABINTI WA MAMA TANZANIA. TUMUOMBE MUNGU ALILINDE TAIFA LETU.
Siamini kama haya yameandikwa na Bagonza! Maana kwa mara ya kwanza ameonyesha Uzalendo wa kutukuka! Amekubali kuwa awamu hii imejikita kuleta maendeleo ya watu kwa kupitia yale ya vitu. Big up Askofu - ni mwanzo mzuri. Au umeunga juhudi baada ya kuiponda awamu hii kwa kipindi kirefu?
 
Naona Askofu Bagonza kaanza mwaka mpya kwa kuikana imani ya Kikiristo

Jina lake la Ubatizo anaitwa Benson naona kalikana jina la kwanza kaweka jina la kipagani la Kalikawa yale yale ya Tundu Lisu ambaye alikana jina lake la mwanzo ubatizo na kujiita la kipagani la TUNDU

Na Yesu alisema ukinikana mbele za watu na mimi nitakukana Lisu akakanwa na Yesu MBELE YA WAPIGA KURA KAMA YEYE ALIVYOMKANA

Unaoongea utoto gani dogo?
 
Tu nasubiri version from Karagwe !! Corona imerudi na bila chanjo watalii hawaji ,......either tunachanja au utalii bye bye ! Hakuna kwenda kwao wala kuja kwetu CHANJO Kwanza
 
Huu upuuzi gani umeandika hapa?

Wapo wengi wenye imani ya kikristu wenye majina ya kwao, kuwa mkristu sio lazima uwe na jina la kizungu, dini ni imani sio jina, siku nyingine ficha upumbavu wako.
Mweleweshe aache kasumba!
 
Unaoongea utoto gani dogo?
wewe mzito kuelewa ninamaanisha aliyeandika sio mwenye jina is Benson ninayemjua wa kutwa kupinga tu

Chadema Watoto kichwa kueleza ndio maana nikasema Benson leo kageuka jina la kwanza Kalikawa!!!! muuunga mkono serikali!!! mwaka mpya una mambo Benson Bagonza kabadili jina kuwa Kalikawa Bagonza na kabadili msimamo sasa anaunga mkono serikali

mwaka mpya una mambo
 
View attachment 1664411
MRADI MKUBWA WA KUJENGA TAIFA 2021

Mwaka 2020 umemalizika. Tunaanza mwaka mpya wa 2021.
Ipo miradi mingi mikubwa ya kitaifa inaendelea. Tunamshukuru Mungu miradi mikubwa ya madaraja, reli, barabara, viwanja vya ndege, ndege, vyuo vikuu na kufua umeme inaendelea vizuri na kukamilika kwake kutainua uchumi wa taifa letu.

Tutakumbuka Baba wa Taifa alitumia muda mrefu katika mradi wa kujenga taifa. Awamu zilizofuata zilitumia muda mwingi kujenga uchumi, miundombinu, elimu, afya, mifumo ya kiutumishi, na hata mihimili ya dola. Awamu hii imefanana na awamu ya baba wa taifa kwani imejikita kujenga miradi ya taifa ambayo itainua uchumi wa Taifa la Tanzania. Yote haya ni mazuri kwa ustawi wa taifa letu

Afya ya taifa hivi sasa ni nzuri. Taifa letu limekuwa ni mfano wa kuigwa kwa mataifa ya Afrika na mabara mengine, kwani tumemtegemea Mungu na kumuita naye akatuvusha katika ugonjwa wa COVID-19 uliotaka kushambulia moyo wa taifa, mapafu ya taifa, figo za taifa, miguu ya taifa, midomo ya taifa, na hata macho ya taifa. Mungu ameonekana na kutuondoa kwenye mauti ya ugonjwa huo na hata sasa tuendelee kumuomba Mungu ili aendelee kuliepusha taifa letu na ugonjwa huo.

Kama taifa Mungu ametuonesha kuwa yeye ni msingi wa ustawi wetu, basi 2021 tusimame na Mungu naye atakuwa msingi wa kila jambo la maendeleo yetu.

Ipo haja ya kuendelea kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa taifa letu kwa umoja pasipo kujaji utofauti wa itikadi za kisiasa. Kwani Taifa halijengwi kwa mawe na matofali. Linajengwa kwa umoja wetu, kusikilizana, kuelewana, kusameheana, kuonyana na kuheshimiana.

Miradi mingi ikijengwa juu ya taifa imara, ni sawa na kujenga nyumba kwenye mwamba. Mafuriko na dhuruba zikija haiwezi kuporomoka. Taifa kama ilivyo nyumba, hulindwa na uimara wa misingi ya umoja. Mungu alilinde taifa letu, aviongoze vikosi kazi vya ulinzi na kuvipa ufanisi wa kulitumikia taifa.

Kwa hekima yote, ninasihi na kuombea miradi ya taifa ifanikiwe. Kwani itajenga uchumi, itachochea amani, italinda madaraja, viwanda, na hata kukaribisha wawekezaji wasio wanyonyaji.

HAYA SHIME WANA NA MABINTI WA MAMA TANZANIA. TUMUOMBE MUNGU ALILINDE TAIFA LETU.
Ni Bagonza yule yule wa Lissu au Naota? AMA kweli kwa Jpm kila goti litapigwa
 
Back
Top Bottom