Askofu Kakobe wahi Kaburini kwa Nyerere nenda kwa akina Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete ukawaombe radhi haraka!

Sio nyanja zote ila haijawahi kutokea kiongozi wa nchi mwenye "kuthubutu kufanya anayofanya JPM " kutumbua bila kuangalia kabila,rangi , cheo sio mchezo . Aliyewahi kuondoa vyeti fake ni nani ? Hata Mkapa alijuta alikuwa wapi !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mfuasi wa 'ulipo tupo'. Ni mwaka wa kujiadhiri. Jitafakarini.... mwacheni aende peke yake... Msimlaumu sana...
 
Wasipokuwa makini, viongozi wa Dini watachukiwa na wa Tanzania wenye nia njema na Nchi hii!

Siyo rahisi kumwelewa na kumwamini Kiongozi yule wa Dini eti ni msafi wa Moyo wakati kila mkutano wenye sura ya propaganda za kisiasa, anaambatana na Rais/kiongozi wa kisiasa aliyejaa viganjani mwake Damu ya watanzania wasiyo na hatia.

Kwa ujumla, Mungu alishaulani utawala huu mara baada ya kuunda vikosi vya kigaidi vya watu wasiyojulikana vinavyoteka, kutesa na kuua watanzania wenye mawazo kinzani na yale ya Watawala!

Kabla ya kufanya lolote la kimaendeleo ni lazima viongozi watubu na wapate utakaso wa Mungu aliyehai, jambo hilo la kujiegemesha kwa viongozi wa Dini wenye kila dalili ya unafiki km wale makuhani wa enzi za Yesu, hakutawasaidia hata kidogo. Damu ya Mh.Lissu itawatafuna mmoja mmoja hadi mwisho wa utawala wao!
 
Kama Kiongozi wa Dini ukiwa ‘ Muongo ‘ hivi tutaaminije kuwa unaweza ukawaombe Watu na ‘ wakapona ‘ matatizo yao? Na je tutaaminije kuwa Wewe ni Kiongozi kweli wa Dini kama labda Wewe siyo Mchawi au Mnafiki tu? Hivi nyie Viongozi wa Dini wa nchini Tanzania hasa wa miaka hii mna matatizo gani? Mmerogwa na nani? GENTAMYCINE sitowavumilieni na nitawasema hata kama ' mtanichukia ' sawa tu ila sijazoea ' Unafiki ' ambao nyie mnaonekana ' mmebarikiwa ' nao.

Namwomba Askofu Zakaria Kakobe upesi kama siyo haraka sana akimbie lilipo Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akaombe Msamaha / Radhi na akimaliza huko akimbie pale Msasani Nyumbani kwa Mzee Mwinyi kisha akimaliza aende Nyumbani kwa Mzee Mkapa kama ni Masaki au Mtwara au Lushoto Tanga na mwishoni aende ama Mikocheni au Msoga kwa Mzee Kikwete akawaombe msamaha / radhi kwa aina ya ‘ Upotoshaji ‘ mkubwa na usiovumilika aliousema mahala fulani muda si mrefu.

Kauli yake kwamba “ Tokea Uhuru wa nchi hii hajawahi kuona na haijapata kutokea Kuona Rais ambaye ana Mapenzi mema na Viongozi wa Dini kama Rais wa Awamu hii ya Tano Dkt. Magufuli na kwamba amekuwa akiwaweka karibu mno Wao Viongozi “.

Labda asichokijua tu Askofu Kakobe ni kwamba kuna aina mbili za Watu na tabia zao ambapo kuna Wale ambao huwa wanakuwa karibu mno na Viongozi wa Dini lakini hawapendi ‘ Maonyesho ‘ au ‘ Sifa ‘ na pia kuwa wale ambao huwa wanapenda kuwa karibu na Viongozi wa Dini kwa kutaka tu ‘ Ufahari ‘ na Kujionyesha kuwa Wao ni Wacha Mungu wakati pengine hata ‘ Matendo ‘ yao hayaakisi hivyo.

Viongozi wa Dini nchini Tanzania jifunzeni kuacha Kutumika vibaya na ‘ Kuwadhihaki ‘ Marais waliopita na mkiweza jaribuni pia Kuchunga ‘ Ndimi ‘ zenu msije mkaharibu na mkajiharibia pia. Kama mna Madai yenu au Uchumi umeyumba tafuteni njia nzuri kuliko hizi za Kinafiki na Kujipendekeza ambazo kwakweli sasa zimeanza ' Kutochosha ' Watanzania wenye akili na wenye Mapenzi mema na hii nchi.

Ninachojua ni kwamba Marais wote waliowahi kupita hapa Tanzania walikuwa na Upendo na Mapenzi mema kabisa kwa Viongozi wote wa Dini nchini na ndiyo maana hata katika Awamu zao zote hadi hii ya sasa nchi imekuwa ina Amani hivi ( japo kuna Changamoto za hapa na pale ) ila Kitendo cha Kusema kuwa Rais fulani anaonekana Kuwapenda Viongozi wa Dini na haijawahi Kutokea Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nitakupinga na sitoogopa pia kusema kuwa katika Viongozi wa Dini ambao sasa naanza ' Kuwadharau ' ni huyu Askofu Kakobe na nawaonea mno ' huruma ' Wanaosali Kwake kwani yawezekana wakawa wanafanana nae ' Kiunafiki ' na hata ' Kiuwongo ' pia.

Namkubali sana tena mno Rais Dkt. Magufuli ila sipendi jinsi ambavyo ' anapambwa ' kwa ' gharama ' za Kuwadhihaki na Kuwadharau Marais wengine waliopita hapa Tanzania ambao nina uhakika wa 100% kama wasingeongoza nchi hii vyema na Kusimamia hii Amani basi hata huyu Rais Dkt. Magufuli asingeikuta Tanzania ikiwa katika hali hii ya Umoja na Mshikamano. Nimesikitika na naanza sasa ' Kuogopa ' jinsi Tanzania ya sasa inavyoenda. Mwenyezi Mungu atusaidie!

Nawasilisha.
Dharau, beza, tukana na kukashifu unavyojua lkn kumbuka anayemtumkia Askofu Kakobe anaweza puliza uhai ulio nao hata sekunde haiishi! matatizo ya malezi..wengine wapo dunia hii kuwa kielelezo cha uweza wa aliyewaumba, kwamba kiburi na majivuno mwisho wake ni jehanamu! mmojawapo ni huyu kijana.
 
Bora mimi niliebak njia kuu RC mana viongoz wang mnawajua vizuri penye kwel wanaongea kwel. .....huyu huyu si alitukana serikal yetu kuwa ana pesa kuizidi lakin uzuri kamkuta mkubwa nae anawachora tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ple
Naomba hili liwe ni ONYO langu Kubwa, Takatifu na la mwisho Kwako sawa? Usije ukanilaumu mbele ya safari tafadhali. Shauri yako!
Mi naamini katka reasoning!!! Haya tuseme anawaalika viongozi wengi wa dini so wht? Kama Taifa hiyo ni sehemu moja tu ya jamii!!! Mbona haaliki na makundi mengine?? Rais ni bingwa wa kujipendekeza uchaguzi huoooo!!! Anajua ktk mahusiano kaharibu kila kona!!!! Push up zile za mwaka 2015 ziliishia wap?? Safari hii tutarajie nini Mr.stone???
 
Kama Kiongozi wa Dini ukiwa ‘ Muongo ‘ hivi tutaaminije kuwa unaweza ukawaombe Watu na ‘ wakapona ‘ matatizo yao? Na je tutaaminije kuwa Wewe ni Kiongozi kweli wa Dini kama labda Wewe siyo Mchawi au Mnafiki tu? Hivi nyie Viongozi wa Dini wa nchini Tanzania hasa wa miaka hii mna matatizo gani? Mmerogwa na nani? GENTAMYCINE sitowavumilieni na nitawasema hata kama ' mtanichukia ' sawa tu ila sijazoea ' Unafiki ' ambao nyie mnaonekana ' mmebarikiwa ' nao.

Namwomba Askofu Zakaria Kakobe upesi kama siyo haraka sana akimbie lilipo Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akaombe Msamaha / Radhi na akimaliza huko akimbie pale Msasani Nyumbani kwa Mzee Mwinyi kisha akimaliza aende Nyumbani kwa Mzee Mkapa kama ni Masaki au Mtwara au Lushoto Tanga na mwishoni aende ama Mikocheni au Msoga kwa Mzee Kikwete akawaombe msamaha / radhi kwa aina ya ‘ Upotoshaji ‘ mkubwa na usiovumilika aliousema mahala fulani muda si mrefu.

Kauli yake kwamba “ Tokea Uhuru wa nchi hii hajawahi kuona na haijapata kutokea Kuona Rais ambaye ana Mapenzi mema na Viongozi wa Dini kama Rais wa Awamu hii ya Tano Dkt. Magufuli na kwamba amekuwa akiwaweka karibu mno Wao Viongozi “.

Labda asichokijua tu Askofu Kakobe ni kwamba kuna aina mbili za Watu na tabia zao ambapo kuna Wale ambao huwa wanakuwa karibu mno na Viongozi wa Dini lakini hawapendi ‘ Maonyesho ‘ au ‘ Sifa ‘ na pia kuwa wale ambao huwa wanapenda kuwa karibu na Viongozi wa Dini kwa kutaka tu ‘ Ufahari ‘ na Kujionyesha kuwa Wao ni Wacha Mungu wakati pengine hata ‘ Matendo ‘ yao hayaakisi hivyo.

Viongozi wa Dini nchini Tanzania jifunzeni kuacha Kutumika vibaya na ‘ Kuwadhihaki ‘ Marais waliopita na mkiweza jaribuni pia Kuchunga ‘ Ndimi ‘ zenu msije mkaharibu na mkajiharibia pia. Kama mna Madai yenu au Uchumi umeyumba tafuteni njia nzuri kuliko hizi za Kinafiki na Kujipendekeza ambazo kwakweli sasa zimeanza ' Kutochosha ' Watanzania wenye akili na wenye Mapenzi mema na hii nchi.

Ninachojua ni kwamba Marais wote waliowahi kupita hapa Tanzania walikuwa na Upendo na Mapenzi mema kabisa kwa Viongozi wote wa Dini nchini na ndiyo maana hata katika Awamu zao zote hadi hii ya sasa nchi imekuwa ina Amani hivi ( japo kuna Changamoto za hapa na pale ) ila Kitendo cha Kusema kuwa Rais fulani anaonekana Kuwapenda Viongozi wa Dini na haijawahi Kutokea Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nitakupinga na sitoogopa pia kusema kuwa katika Viongozi wa Dini ambao sasa naanza ' Kuwadharau ' ni huyu Askofu Kakobe na nawaonea mno ' huruma ' Wanaosali Kwake kwani yawezekana wakawa wanafanana nae ' Kiunafiki ' na hata ' Kiuwongo ' pia.

Namkubali sana tena mno Rais Dkt. Magufuli ila sipendi jinsi ambavyo ' anapambwa ' kwa ' gharama ' za Kuwadhihaki na Kuwadharau Marais wengine waliopita hapa Tanzania ambao nina uhakika wa 100% kama wasingeongoza nchi hii vyema na Kusimamia hii Amani basi hata huyu Rais Dkt. Magufuli asingeikuta Tanzania ikiwa katika hali hii ya Umoja na Mshikamano. Nimesikitika na naanza sasa ' Kuogopa ' jinsi Tanzania ya sasa inavyoenda. Mwenyezi Mungu atusaidie!

Nawasilisha.
Sasa wewe hutaki amsifu Mh. RAIS MAGUFULI? Sasa kama Askofu Kakobe ametubu hutaki tena! Hayo maneno ametoa ya moyoni mwake! Usimlazimishe aseme ambayo hayapo moyoni mwake. Pia na wewe una uhuru wako
 
Kama Kiongozi wa Dini ukiwa ‘ Muongo ‘ hivi tutaaminije kuwa unaweza ukawaombe Watu na ‘ wakapona ‘ matatizo yao? Na je tutaaminije kuwa Wewe ni Kiongozi kweli wa Dini kama labda Wewe siyo Mchawi au Mnafiki tu? Hivi nyie Viongozi wa Dini wa nchini Tanzania hasa wa miaka hii mna matatizo gani? Mmerogwa na nani? GENTAMYCINE sitowavumilieni na nitawasema hata kama ' mtanichukia ' sawa tu ila sijazoea ' Unafiki ' ambao nyie mnaonekana ' mmebarikiwa ' nao.

Namwomba Askofu Zakaria Kakobe upesi kama siyo haraka sana akimbie lilipo Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akaombe Msamaha / Radhi na akimaliza huko akimbie pale Msasani Nyumbani kwa Mzee Mwinyi kisha akimaliza aende Nyumbani kwa Mzee Mkapa kama ni Masaki au Mtwara au Lushoto Tanga na mwishoni aende ama Mikocheni au Msoga kwa Mzee Kikwete akawaombe msamaha / radhi kwa aina ya ‘ Upotoshaji ‘ mkubwa na usiovumilika aliousema mahala fulani muda si mrefu.

Kauli yake kwamba “
Tokea Uhuru wa nchi hii hajawahi kuona na haijapata kutokea Kuona Rais ambaye ana Mapenzi mema na Viongozi wa Dini kama Rais wa Awamu hii ya Tano Dkt. Magufuli na kwamba amekuwa akiwaweka karibu mno Wao Viongozi “.

Labda asichokijua tu Askofu Kakobe ni kwamba kuna aina mbili za Watu na tabia zao ambapo kuna Wale ambao huwa wanakuwa karibu mno na Viongozi wa Dini lakini hawapendi ‘ Maonyesho ‘ au ‘ Sifa ‘ na pia kuwa wale ambao huwa wanapenda kuwa karibu na Viongozi wa Dini kwa kutaka tu ‘ Ufahari ‘ na Kujionyesha kuwa Wao ni Wacha Mungu wakati pengine hata ‘ Matendo ‘ yao hayaakisi hivyo.

Viongozi wa Dini nchini Tanzania jifunzeni kuacha Kutumika vibaya na ‘ Kuwadhihaki ‘ Marais waliopita na mkiweza jaribuni pia Kuchunga ‘ Ndimi ‘ zenu msije mkaharibu na mkajiharibia pia. Kama mna Madai yenu au Uchumi umeyumba tafuteni njia nzuri kuliko hizi za Kinafiki na Kujipendekeza ambazo kwakweli sasa zimeanza ' Kutochosha ' Watanzania wenye akili na wenye Mapenzi mema na hii nchi.

Ninachojua ni kwamba Marais wote waliowahi kupita hapa Tanzania walikuwa na Upendo na Mapenzi mema kabisa kwa Viongozi wote wa Dini nchini na ndiyo maana hata katika Awamu zao zote hadi hii ya sasa nchi imekuwa ina Amani hivi ( japo kuna Changamoto za hapa na pale ) ila Kitendo cha Kusema kuwa Rais fulani anaonekana Kuwapenda Viongozi wa Dini na haijawahi Kutokea Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nitakupinga na sitoogopa pia kusema kuwa katika Viongozi wa Dini ambao sasa naanza ' Kuwadharau ' ni huyu Askofu Kakobe na nawaonea mno ' huruma ' Wanaosali Kwake kwani yawezekana wakawa wanafanana nae ' Kiunafiki ' na hata ' Kiuwongo ' pia.

Namkubali sana tena mno Rais Dkt. Magufuli ila sipendi jinsi ambavyo ' anapambwa ' kwa ' gharama ' za Kuwadhihaki na Kuwadharau Marais wengine waliopita hapa Tanzania ambao nina uhakika wa 100% kama wasingeongoza nchi hii vyema na Kusimamia hii Amani basi hata huyu Rais Dkt. Magufuli asingeikuta Tanzania ikiwa katika hali hii ya Umoja na Mshikamano. Nimesikitika na naanza sasa ' Kuogopa ' jinsi Tanzania ya sasa inavyoenda. Mwenyezi Mungu atusaidie!

Nawasilisha.
Kibaya zaidi huyu mnafiki kakabe hana pasport yake. Imechukuliwa na mamlaka husika baada ya kumtaka rais atubu. Sasa rais hakutubu ila kakobe ndie anaeonekana kutubu kwa rais. Maana yake hii ni nini? Mungu hakumtuma kama alivyotaka kutuaminisha ila ilikuwa ni katika ujanja ujanja wake wa kuficha ukwasi aliowapiga masikini wanaokusanyika kwake pale mwenge. Baada ya kupima upepo imemlazimu yeye kusujudu kwa rais kuomba huruma. Sii kwa kingine ila bilion nane aliyosunda kwenye account yake anayoiita ya kanisa.
Walikuwepo katika ule mkutano, viongozi wawili wa dini wasio na soni ya uso katika kuhakikisha mkono unaenda kinywani .Vibaraka hao ni kakobe na shehe mkuu wa mkoa wa Dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kibaya kama UNAFIKI

Sent from my SM using Tapatalk
Duh JF kuna jeshi kubwa la wanafiki. Ninyi si ndiyo mlikua mnamshangilia hapa jamvini jameni??? mwenzenu alipopata misukosuko hamkumsaidia zaidi kila kukicha mpo mitandaoni na anon ID... Olympic wakianzisha mashindano ya unafiki lazima Tanzania itachukua medali zote. unafiki kwa viongozi wa serikalini, unafiki kwa viongozi wa dini unafiki mpaka kwa watu wa kawaida bora Kakobe na viongozi wengine wanaweza kuwa wanalinda maslahi lakini unafiki wa Watanzania wa kawaida ni bure bila malipo hasa hapa JF. Unafiki oyeeeeeeee
 
Mkuu you are out of order.mkuu.
"The word Takataka" halikuhitajika kutumika na mtu kama wewe!!!!!!!!!!!!!!
.
I am in good order, and very normal, actualy normal than usual normality! to me, this is the right description of him!
 
Duh JF kuna jeshi kubwa la wanafiki. Ninyi si ndiyo mlikua mnamshangilia hapa jamvini jameni??? mwenzenu alipopata misukosuko hamkumsaidia zaidi kila kukicha mpoa mitandaoni na anon ID... Olympic wakianzishi mashindano ya unafiki lazima Tanzania itachukua medali zote. unafiki kwa viongozi wa serikalini, uanfiki kwa viongozi wa dini unafiki mpaka kwa watu wa kawaida bora kakobe na viongozi wengine wanweza kuwa wanalinda maslahi lakini unafiki wa Watanzania wa kawaida ni bure bila malipo hasa hapa JF. Unafiki oyeeeeeeee
Duuu mimi simo wala sio muumini wa dini hiyo
Sasa umejumuisha kila mtu humu utafikiri unanijua, kweli UNAFIKI oyeee na wewe.ukiwemo
Dhana mbaya sana na wewe umelidhihirisha hilo na kutoa dukuduku kwa dhana tu

Sent from my SM using Tapatalk
 
Duuu mimi simo wala sio muumini wa dini hiyo
Sasa umejumuisha kila mtu humu utafikiri unanijua, kweli UNAFIKI oyeee na wewe.ukiwemo
Dhana mbaya sana na wewe umelidhihirisha hilo na kutoa dukuduku kwa dhana tu

Sent from my SM using Tapatalk
Nimesmea JF na watanzania, hivyo na mimi kihesabu na mimi nipo. Siwezi kukana hilo maana mimi ni Mtanzania pia. Ila kiukweli sisi Watanzania ni wanafiki sana.
 
Genta

I totally support your post, niko nawe, huyu kakobe na yule shehe mchwara, anayaacha kwenda kwenye kuiongoza sala muhimu ya ijumaa, ili aje jukwani kusifia ma apewe TS million 5 za juice.

Wanafiki bin kelb

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom