hata yesu alikufa mkuuHawa jamaa utoa maombezi kwa wengine lkn wao magonjwa mazito uwapata kama kawaida na kufa vifo vya kawaida.
hata yesu alikufa mkuuHawa jamaa utoa maombezi kwa wengine lkn wao magonjwa mazito uwapata kama kawaida na kufa vifo vya kawaida.
Yesu ni habari ingine mkuu, we sema ujanja umekuwa too much kwenye hiz dini za kilokolehata yesu alikufa mkuu
Mtumishi wa Mungu na Askofu mkuu wa kanisa la Full gospel Bible fellowship, Askofu Zacharia Kakobe, amesema anapo mwambia Mtu Atubu dhambi zake halafu mtu huyo akakasirika, mtu huyo ni mtoto wa haramu.
Kakobe amesema mtu asijisumbue kumpiga vita kwani ameruka vihuzi na kukwepa mishale mingi mpaka umri alio fikia sasa.
Ameendelea kusema kuwa kuna watu walifanya sherehe na kupeana chiazi kuwa wame mmaliza Lakini wakashangaa kumuona Kakobe anaendelea kudunda tuu.
Ameyazungumza hayo ktk sherehe za uzinduzi wa Jukwaa la kumuhubiri Kristo kwa pamoja linalo undwa kwa pamoja na watumishi watatu ambao ni Mtume Dr. Fernandes wa Agape ministries, Askofu Sylvester Gamanywa wa Wapo international ministries na Zacharia Kakobe wa Full gospel Bible fellowship.
Hayo mawe ya Askofu sijui yatampata nani huko gizani ila ukisikia uwiii ujue limempata muhusika.
Askofu Kakobe ni mtumishi wa Shetani per se.,Mtumishi wa Mungu na Askofu mkuu wa kanisa la Full gospel Bible fellowship, Askofu Zacharia Kakobe, amesema anapo mwambia Mtu Atubu dhambi zake halafu mtu huyo akakasirika, mtu huyo ni mtoto wa haramu.
Kakobe amesema mtu asijisumbue kumpiga vita kwani ameruka vihuzi na kukwepa mishale mingi mpaka umri alio fikia sasa.
Ameendelea kusema kuwa kuna watu walifanya sherehe na kupeana chiazi kuwa wame mmaliza Lakini wakashangaa kumuona Kakobe anaendelea kudunda tuu.
Ameyazungumza hayo ktk sherehe za uzinduzi wa Jukwaa la kumuhubiri Kristo kwa pamoja linalo undwa kwa pamoja na watumishi watatu ambao ni Mtume Dr. Fernandes wa Agape ministries, Askofu Sylvester Gamanywa wa Wapo international ministries na Zacharia Kakobe wa Full gospel Bible fellowship.
Hayo mawe ya Askofu sijui yatampata nani huko gizani ila ukisikia uwiii ujue limempata muhusika.