BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 547
UPDATES 1: Television ya Agape wanarusha mubashara sherehe hizi pia.
Askofu Zachary Kakobe ametangaza kwamba Sherehe za Miaka 30 ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, zitarushwa livestream kupitia ukurasa wake FACEBOOK maarufu kwa jina la BZKIM [https://www.facebook.com/342053105875881/posts/2192889134125593/ kutoka Kanisa hili Dar-Es-Salaam, leo Jumapili tarehe 5.5.2019, wakati wowote kuanzia saa 3 asubuhi, hadi saa 12 jioni.
Jiweke tayari kufatilia mubashara sherehe hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wakuu wa taasisi za dini na serikali❗
Niombe tusaidiane kuweka hapa matukio yaliyojiri kwa utukufu wa Mungu kulingana na majukumu ya huduma zetu.
================================
UPDATES 2:
Tayari jeshi la watumishi wa Mungu limeingia katika ukumbi wa kanisa. Yuko Nabii Josephat Mwingira, Askofu Gamanywa, Askofu Gwajima na mhe. Paul Makonda na wengine bado wanaingia na watatoa salamu zao sasa hivi.
===============================
updates 3
Salamu zinaendelea kutolewa na wageni.
Zamu ya mhe. Senior Pastor Anny Fernandes wa kanisa la Agape ambaye ametoa zawadi ya vingamuzi 300 kwa askofu Zachary Kakobe. Tayari Mtume na nabii Mwingira,Askofu Gwajima na Askofu Gamanywa wametoa salamu.
UPDATES 4:
Askofu Zachary Kakobe kumkaribisha mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam,kutoa salamu maalum kwa walioohudhuria sherehe na kwa wakristo kwa ujumla.
MWISHO: Askofu Zachary Kakobe alimkaribisha mtume Peter Nyaga kufunga sherehe kwa maombi;na msafari wa kuondoka ukumbini kumsindikiza mhe.Paulo Makondahuku kanisa likiendelea na shagwe na vigegele na vifijo katika kuhitisha sherehe ya kihistoria.
KARIBU YOUTUBE LIVESTREAM SASA
UPDATES (DATE 26-05-2019)
Bishop Kakobe ameendelea kuweka katika kurasa yake FACEBOOK video na picha matukio ya sherehe za miaka 30 kutoka matawi yote zaidi elfu ya kanisa la Full Gospel Bible Fellowship. Tazama video na picha kwa link https://www.facebook.com/bishopkakobeministries/?ti=as
Askofu Zachary Kakobe ametangaza kwamba Sherehe za Miaka 30 ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, zitarushwa livestream kupitia ukurasa wake FACEBOOK maarufu kwa jina la BZKIM [https://www.facebook.com/342053105875881/posts/2192889134125593/ kutoka Kanisa hili Dar-Es-Salaam, leo Jumapili tarehe 5.5.2019, wakati wowote kuanzia saa 3 asubuhi, hadi saa 12 jioni.
Jiweke tayari kufatilia mubashara sherehe hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wakuu wa taasisi za dini na serikali❗
Niombe tusaidiane kuweka hapa matukio yaliyojiri kwa utukufu wa Mungu kulingana na majukumu ya huduma zetu.
================================
UPDATES 2:
Tayari jeshi la watumishi wa Mungu limeingia katika ukumbi wa kanisa. Yuko Nabii Josephat Mwingira, Askofu Gamanywa, Askofu Gwajima na mhe. Paul Makonda na wengine bado wanaingia na watatoa salamu zao sasa hivi.
===============================
updates 3
Salamu zinaendelea kutolewa na wageni.
Zamu ya mhe. Senior Pastor Anny Fernandes wa kanisa la Agape ambaye ametoa zawadi ya vingamuzi 300 kwa askofu Zachary Kakobe. Tayari Mtume na nabii Mwingira,Askofu Gwajima na Askofu Gamanywa wametoa salamu.
UPDATES 4:
Askofu Zachary Kakobe kumkaribisha mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam,kutoa salamu maalum kwa walioohudhuria sherehe na kwa wakristo kwa ujumla.
MWISHO: Askofu Zachary Kakobe alimkaribisha mtume Peter Nyaga kufunga sherehe kwa maombi;na msafari wa kuondoka ukumbini kumsindikiza mhe.Paulo Makondahuku kanisa likiendelea na shagwe na vigegele na vifijo katika kuhitisha sherehe ya kihistoria.
KARIBU YOUTUBE LIVESTREAM SASA
UPDATES (DATE 26-05-2019)
Bishop Kakobe ameendelea kuweka katika kurasa yake FACEBOOK video na picha matukio ya sherehe za miaka 30 kutoka matawi yote zaidi elfu ya kanisa la Full Gospel Bible Fellowship. Tazama video na picha kwa link https://www.facebook.com/bishopkakobeministries/?ti=as