Ndugu watanzania wote ungana nami kwa Taarifa za Uhakika kutoka katika Mkutano wa Waandishi wa Habari na Askofu Gwajima sasa hivi.
Vituo vya TV vilivyoko hewani ni Channel 10 na Sibuka TV
More updates to follow!
12:28 PM
Waandishi wa habari waliofika mpaka ni kutoka:
Radio:
BBC, DW, RADIO ONE, CLOUDS FM, EAST AFRICA RADIO, WAPO RADIO na E-fm
Television:
Clouds Tv, Channel 10, Mlimani Tv, EA TV na Sibuka Tv
Bado waandishi wanaingia kwa wingi!
UPDATE
Askofu Gwajima ameshafika hapa Landmark Hotel, wageni na waandishi wanamsubiri Ukumbini
=========
Gwajima anaonyesha meseji aliyotumiwa na Dr. Slaa kuhusu kustaafu kwake siasa
Sasa Ocampo hiyo avatar yako unalia nini? Unamlilia Slaa?Hiyo link hakuna kitu Mkuu
Yaani hata Mzee Ndesamburo aliambiwa live kua tatizo ni Urais na U-1st ladykumbe maisha ya Dr Mihogo yako mikononi mwa my wife wake!
Truth is one!!! Who knows Gwajima is speaking the truth?
We unapajua Kibo Complex wewe?askofu anakutana bar na mke wa mtu tena wakiwa peke yao, mh...... eti kumbembeleza