Askofu Josephat Gwajima akamatwa Uwanja wa Ndege wa Dar

Huyu jamaa waumini wake utasema extremes wa isis, sipendi sana watu wanao~take advantage ya imani ya watu kufanya mambo yao binafsi, huyu jamaa kanisani kwake ndo sehemu ya kufanyia siasa, very stupid, japo anapiga sana hela za wajinga.
chuki binafsi tu mwache askofu ahubiri injii
 
Polisi wanatafuta kazi ya kufanya na kujipendekeza kwa raid.Gwajima ni public figure siyo wa kutafutwa bali kuitwa kituo cha polisi
 
Polisi wanatafuta kazi ya kufanya na kujipendekeza kwa raid.Gwajima ni public figure siyo wa kutafutwa bali kuitwa kituo cha polisi

Tapeli hana lolote,,, anajitajirisha kwa sadaka zenu! Wakati wewe unaunganisha mabasi kwenda kumpokea!! Yeye anapanda chopa kwenda nyumbani kwake
 
Huyu jamaa waumini wake utasema extremes wa isis, sipendi sana watu wanao~take advantage ya imani ya watu kufanya mambo yao binafsi, huyu jamaa kanisani kwake ndo sehemu ya kufanyia siasa, very stupid, japo anapiga sana hela za wajinga.

Imani kitu kingine kabisa.
 
Leo mchana askofu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima amekamatwa Airport wakati akitua toka Nje ya nchi alikoenda kwa matibabu.

Duru za habari zinanyetisha kuwa Askofu Gwajima alishuka na ndege ya Kenya Airways iliyokuwa inatoka Nairobi kuja Dar ambapo baada ya kushuka alitaka kuunganisha na chopa yake kuingia mjini kupitia Sea Cliff.

Mpaka sasa Askofu yupo chini ya ulinzi na wafuasi wake na wasaidizi wake wamethibitisha kuwa walikuwa na taarifa za kuja kwa Askofu wao leo na ndege ya Kenya Airways lakini hawajamuona,na habari walizozipata ni kuwa mara baada ya kushuka vyomba vya Usalama vilimkamata sbb walikuwa wakimtafuta kwa muda mrefu.

Waumini wake na wasaidizi wake wanaendelea kufuatilia kujuwa kiongozi wao anashikiliwa katika kituo kipi cha polisi.Hizi habari zimezua "taharuki" hapa Ubungo kanisani kwake na waumini wapo katika makundimakundi kujadili hatima ya Askofu wao

More News to come..!
Mkuu mbona unaudanganya una wa watanzania? Na kwann unafanya hivyo?

Napenda wanajamvi wote muelewe gwajima alikuja central police kuripoti kwakuwa alisikia anatafutwa na akahojiwa kwa muda mfupi usiozidi nusu saa na akaruhusiwa aende zake. Sasa kwann utunge uongo humu kwa kusababisha watu wauze magazetibkwa habari za uongo.Msikurupuke nendeni nyumbani kwake mtamkuta au kanisani huko. Lakini msiudanganye uma humu leten hoja za msingi
 
Hahahahahahaaa mpaka sasa mmesha hama kujadili mambo ya Gwajima Tanzania hii mnamengi sana ya kujadili tu nashindwa kuwasaidia maana sheria hairuhusu
 
Hahaha huyu cheki bob lazima atavunga ana ugonjwa wa moyo.....
 
Back
Top Bottom