bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,016
- 4,961
We kiboko shost.
Mh!Afike salama,wamkaze kwa amani mzee wetu kwenye nyumba yake ya milele
hahahahaaWe kiboko shost.
Ndugu yake Albert Malyangili
Short za chuchuWewe jaribu kuropoka uone utaishia wapi? Utapigwa shoti za chuchu.....
Sasa kwa coment hii, kama nyie wafuasi wa CCM, na CHADEMA, sasa si mtaombea viongozi wenu maarufu wafe, ili mpate kuwatambia wafuasi wa chama kingine. Maana na like, umeipata kuonyesha wanaunga mkono wazo lako, ila kwetu sisi huko umakondeni, tunaamini, marehemu hana kinyongo. Ndiyo maana msiba, hauna mwaliko.Tafadhali CCM yeyote au mwenye harufu ya CCM asitie mguu hapo msibani
Kamuongelea Gambo yani askofu anapiga kote kote akiwa dar bashite akiwa Kilimanjaro na arusha anapiga GamboEeeee Mungu baba tunakuomba epusha asiende akaongelea tena "issue" ya zero brain pale atakapopewa maiki.
Bashite na Babaye wanachungulia mitandaoni. Roho zinawaumaaaaTafadhali CCM yeyote au mwenye harufu ya CCM asitie mguu hapo msibani
Gwajima maisha yake tayari amekwisha "YASETI" (Ameyatengeneza) katika mtiririko wa "SIRIZ" ama ni kama DRAMA kwa sasa...Muda si punde askofu huyu kiboko ya Bashite ametua uwanja wa KIA tayari kuelekea Moshi kuhudhuria msiba wa babu yetu kipenzi Ndesa pesa.
Mungu awajaalie wote walioko njiani kuhudhuria kumuaga mpendwa wetu.
Daima tutamkumbuka kwa mengi na hasa moyo wake mkunjufu wa kusaidia
Chuki mmeianzisha wenyewe CCM. Kuanzia bungeni mpaka kwenye maisha ya kawaida wacha kama ni chuki itamalaki ili CCM mjifunze kwamba chuki haijengi.Sasa kwa coment hii, kama nyie wafuasi wa CCM, na CHADEMA, sasa si mtaombea viongozi wenu maarufu wafe, ili mpate kuwatambia wafuasi wa chama kingine. Maana na like, umeipata kuonyesha wanaunga mkono wazo lako, ila kwetu sisi huko umakondeni, tunaamini, marehemu hana kinyongo. Ndiyo maana msiba, hauna mwaliko.
Wachungulie tu huu msiba hauwahusu .wanafiki wakubwa haoBashite na Babaye wanachungulia mitandaoni. Roho zinawaumaaaa
Wala rambirambi hawana nafasi.At least Msiba huu wala rambi rambi hawana nafasi!
Nikuambie tu ndugu yangu, mimi ujinga wa ufuasi wa vyama sina, ingawa siasa inagusa maisha yangu. Mimi ilimradi siku ya kura hawaulizi card ya mwanachama sioni tatizo, sipendi kujifunga upande fulani, mpaka sasa bado sijaona Chama ama mwanasiasa mwenye nia na Tanzania. Kwahiyo mwana furums, mwenzangu usinichukie, ukidhani ni mpinzani wako, ndiyo maana mara nyingi sichangii sana yanayohusu siasa. Hii nimechangia sababu ni msiba, hata wale wapemba walipokua hawazikani sababu ya Siasa, nilichangia, nikiwauliza siasa ina nguvu kuliko Mungu, maana wapemba wanaonekana wacha Mungu.Chuki mmeianzisha wenyewe CCM. Kuanzia bungeni mpaka kwenye maisha ya kawaida wacha kama ni chuki itamalaki ili CCM mjifunze kwamba chuki haijengi.
Kama siasa kwako si lolote nadhani unapoteza muda wako hata kuchangia humu. Endelea na biashara zako.Nikuambie tu ndugu yangu, mimi ujinga wa ufuasi wa vyama sina, ingawa siasa inagusa maisha yangu. Mimi ilimradi siku ya kura hawaulizi card ya mwanachama sioni tatizo, sipendi kujifunga upande fulani, mpaka sasa bado sijaona Chama ama mwanasiasa mwenye nia na Tanzania. Kwahiyo mwana furums, mwenzangu usinichukie, ukidhani ni mpinzani wako, ndiyo maana mara nyingi sichangii sana yanayohusu siasa. Hii nimechangia sababu ni msiba, hata wale wapemba walipokua hawazikani sababu ya Siasa, nilichangia, nikiwauliza siasa ina nguvu kuliko Mungu, maana wapemba wanaonekana wacha Mungu.