Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,895
- 33,458
Mungu yu pamoja nasi!Hoja sio hiyo, hoja ni ya Gwajima kuwa sisi waafrika tumepitia maradhi utumwa kwa hiyo Corona haituwezi
Labda kama angeongelea kuhusu hali ya hewa na sio genetics
Haitatokea bwashee!
Gwajima amezungumza juu ya Mungu.Kama kuna mungu anapigania watanzania basi huyo mungu hana nguvu kabisa inabidi waache kumuabudu maana Tanzania ni moja ya nchi choka mbaya duniani, watu hawana hela, ukimwi umejaa, wajinga wengi, yaani the majority ni njaa tu. Huyo mungu anayewapigania huyo ovyo kabisa.
Gwajima amezungumza juu ya Mungu.
Huyo mungu unayemsema wewe ni kweli hana nguvu!
Kafilisika huyuAskofu Gwajima yuko mubashara Clouds tv akiongelea ugonjwa wa Corona na waandishi nguli Baby Kabaye na msaidizi wake Hassan Ngoma.
Gwajima anasema Corona ni tatizo litakalopita kama yale yote yalivyopita huko nyuma na watanzania wasiogope bali wasimame imara imara kwa sababu Mungu anatupigania, tena Mungu ni zaidi ya sabuni, maji na vitakasa mikono.
Gwajima anasema Wasukuma siyo wakabila ndio maana Ilemela imewahi kuwa na mbunge mchaga na Nyamagana imewahi kuwa na mbunge Mjaluo mh Wenje.
Ngoma anauliza Askofu Gwajima aliwahi kusema Makonda ana nguvu isiyojulikana nyuma yake, je ameishaijua hiyo nguvu inatoka wapi?......Gwajima anasema Makonda ni past tense kwa sababu alishamsamehe na anamuombea pia.
Maendeleo hayana vyama!
Haya!Uweke capital letters au small letters bongo itabaki na njaa ileile tu, huyo wa capital si awape chakula sasa? 😂
We kama una mtoto unampenda sana kuliko kitu kingine duniani na una uwezo wa kumlisha hadi siku anakufa utakaa unamuona anakufa njaa? huyo mungu wenu wa capital M naona ndo kitu anakifanya 😅amekaa anawacheki tu huku anauwezo wa kusnap kidole kama Thanos njaa ikafutika, Endeleeni kujidanganya
Mwanza ni metro huwezi kuifananisha na KilimanjaroHaitatokea bwashee!
Askofu Gwajima yuko mubashara Clouds tv akiongelea ugonjwa wa Corona na waandishi nguli Baby Kabaye na msaidizi wake Hassan Ngoma.
Gwajima anasema Corona ni tatizo litakalopita kama yale yote yalivyopita huko nyuma na watanzania wasiogope bali wasimame imara imara kwa sababu Mungu anatupigania, tena Mungu ni zaidi ya sabuni, maji na vitakasa mikono.
Gwajima anasema Wasukuma siyo wakabila ndio maana Ilemela imewahi kuwa na mbunge mchaga na Nyamagana imewahi kuwa na mbunge Mjaluo mh Wenje.
Ngoma anauliza Askofu Gwajima aliwahi kusema Makonda ana nguvu isiyojulikana nyuma yake, je ameishaijua hiyo nguvu inatoka wapi?......Gwajima anasema Makonda ni past tense kwa sababu alishamsamehe na anamuombea pia.
Maendeleo hayana vyama!
Wanaomfuata huyu kiimani nao pia ni misukule.Mwanzo alisema Corona haitafika Tanzania, waumini wake wakamshangilia, leo anasema itapita, hope wakimsikia watamshangilia tena!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gwajima ameongea na taifa kupitia Clouds tv!Wanaomfuata huyu kiimani nao pia ni misukule.
Kwa mujibu wa neno la Mungu alie hai achilia mbali huyu wa kufikirika ilikuwa mtu akitoa unabii kama alioutoa Gwajima na akawa kinyume na alivyotamka kwa jina la Mungu ili walazimu wana jamii ya waaminio kuuondoa uvuovu ulio miongoni mwao kwa kumpiga huyo nabii muongo mawe hadi afe.
Sasa Gwajima kadanganya na kisha karudi kwa wale aliowadanganya kuwaongezea uongo mwingine juu ya ule wa kwanza.
Kama hawa wadanganywaji sii misukule ni nini basi kinawaondoa kwenye ufahamu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Askofu Gwajima yuko mubashara Clouds tv akiongelea ugonjwa wa Corona na waandishi nguli Baby Kabaye na msaidizi wake Hassan Ngoma.
Gwajima anasema Corona ni tatizo litakalopita kama yale yote yalivyopita huko nyuma na watanzania wasiogope bali wasimame imara imara kwa sababu Mungu anatupigania, tena Mungu ni zaidi ya sabuni, maji na vitakasa mikono.
Gwajima anasema Wasukuma siyo wakabila ndio maana Ilemela imewahi kuwa na mbunge mchaga na Nyamagana imewahi kuwa na mbunge Mjaluo mh Wenje.
Ngoma anauliza Askofu Gwajima aliwahi kusema Makonda ana nguvu isiyojulikana nyuma yake, je ameishaijua hiyo nguvu inatoka wapi?......Gwajima anasema Makonda ni past tense kwa sababu alishamsamehe na anamuombea pia.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa maslahi ya kikundi kidogo ambacho kimewafanya Watanzania wote wapumbavu kinaweza mkaribisha hata Shetani akaongea na Taifa!Gwajima ameongea na taifa kupitia Clouds tv!
Kama kuna mungu anapigania watanzania basi huyo mungu hana nguvu kabisa inabidi waache kumuabudu maana Tanzania ni moja ya nchi choka mbaya duniani, watu hawana hela, ukimwi umejaa, wajinga wengi, yaani the majority ni njaa tu. Huyo mungu anayewapigania huyo ovyo kabisa.
Hua nacheka nikisikia mtu anasema mungu wetu ni mungu mwenye nguvu kuliko yeyote, na ni mwenye upendo kuliko yeyote, sasa ana upendo mwingi na nguvu alafu anawaacha mnakufa njaa, mnakufa kwa mafuriko, magonjwa, ni either hana upendo kama mnavyofikiri au kama anao basi hana nguvu kama mnavyofikiri hawezi zuia haya, angekua na vyote viwili basi haya yasingetokea, sasa chagueni moja, ana lipi? au hayupo kabisa? Huwezi kua mrefu na mfupi at the same time.
Yule ni mtumishi wa Shetani according to Kumb.18:18-21.Mwanzo alisema Corona haitafika Tanzania, waumini wake wakamshangilia, leo anasema itapita, hope wakimsikia watamshangilia tena!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kweli kweli!Yule ni mtumishi wa Shetani according to Kumb.18:18-21.
Anajiropokea maneno si kwa uweza wa Mungu bali kwa kujikinai na ushetani.
Gwajima ameongea na taifa kupitia Clouds tv!