tutamkumbukamagu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 317
- 270
Black plague au Spanish Flu ziliua kuliko Corona na World war 1 ila zilizaa nini??
Msipende kuwa watu wa speculation na conspirancy.... Maisha ni process na dunia inapitia mabadiliko sio kila kitu kimepangwa.
Nakumbuka hata Tsunami ya 2004/05 kuna watu walidai ilisababishwa na bomu la nuclear iliyolipuliwa baharini na mabeberu!!!
uwe na akili basi,