Askofu Gwajima: Vita ya kwanza ya dunia iliizaa UN, vita ya pili ikazaa taifa la Israel, Je Corona itazaa nini? Watu wenye akili tunajiuliza

Black plague au Spanish Flu ziliua kuliko Corona na World war 1 ila zilizaa nini??

Msipende kuwa watu wa speculation na conspirancy.... Maisha ni process na dunia inapitia mabadiliko sio kila kitu kimepangwa.

Nakumbuka hata Tsunami ya 2004/05 kuna watu walidai ilisababishwa na bomu la nuclear iliyolipuliwa baharini na mabeberu!!!

uwe na akili basi,
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!
Mwambieni kuwa itazaa KATIBA MPYA
 
Nireteeni gwajima
Nasema nileteeni gwajimaaaaa😂😂😂
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!
Ulimwengu (the world) haipaswi kuwa “stable” kama maji mtumgini.
 
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, Ambao hautatikisika, wakaa milele.
² Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu, Ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake, Tangu sasa na hata milele.
³ Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya fungu la wenye haki; Wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.
 
Black plague au Spanish Flu ziliua kuliko Corona na World war 1 ila zilizaa nini??

Msipende kuwa watu wa speculation na conspirancy.... Maisha ni process na dunia inapitia mabadiliko sio kila kitu kimepangwa.

Nakumbuka hata Tsunami ya 2004/05 kuna watu walidai ilisababishwa na bomu la nuclear iliyolipuliwa baharini na mabeberu!!!
At a time ndio najifunza kuhusu plate tectonics and earth dynamism😃😃 (2004/5)
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!
Watu wenye akili? He is an MP, should be at Mirembe Hospital being treated for mental issues, this guy is sick!! JPM ametuachia mzigo mzito hili.
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!
WW1 ilizaa League of Nations
WW2 ilizaa United Nations
Israel, Russia & Islamic Nations itazaa NWO
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!
Theory ya kijinga.....!!
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!

Watanzania mnapenda vituko sana badala ya kusikiliza Dr wa ukweli mnasikiliza Dr fake! Hivi jiulize kasoma wapi A-level na kamfufua nani?
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)
Sasa hapo ndio kasema nini? League of Nations na Umoja wa Mataifa ni vitu viwili tofauti. League of Nations ilifeli katika maazimio yake, ikafa, ndio ukazaliwa Umoja wa Mataifa.

League of Nations ilikuwa zaidi kwa mataifa yaliyoshinda vita dhidi ya Adolf Hitler na allies wake. Umoja wa Mataifa ulikuwa na wigo mpana zaidi.
 
Askofu Gwajima amesema dunia ina mambo yake na utaratibu wake wa kufikia malengo na usipokuwa na akili basi utapata tabu sana.

Askofu Gwajima amesema vita ya kwanza ya dunia iliyoua watu zaidi ya milioni 20 ilipomalizika ukazaliwa Umoja wa Mataifa ( League of Nations)

Vita ya pili nayo iliuwa watu wengi na ilipomalizika likazaliwa taifa la Israel, Mrengo wa Magharibi na Mrengo wa Mashariki.
Kwa sababu Nyerere alikuwa na akili yeye na wenzake wakajianzishia Umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote.
Hata hivyo Umoja huu ulikuwa na faida 50% na hasara 50% kwa sababu nchi zake zilionekana hazina msimamo.

Askofu Gwajima anasema Watu wenye akili wamejichimbia kwenye maktaba zao wanatafakari hii Corona itazaa nini, na nini itakuwa impact yake kwenye uchumi na siasa

Gwajima amesema anamshauri Rais Samia atafute vijana " wenye akili " wajikite katika hili na kutupa mrejesho ili tuwexe kuvuka.

Chanzo: Ibadani Kanisa la Ufufuo na Uzima

Mungu ni mwema wakati wote!
Corona siyo vita ni kirusi ambacho kinga yake ni chanjo na kuzingatia masharti ya madaktari.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom