johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,665
Askofu Gwajima amesema sasa ni wakati wa kumsupport Rais Samia kama tulivyomsupport hayati Magufuli kwa sababu mama Samia atayatimiza ya Magufuli tena atafanya zaidi tayari.
Askofu Gwajima amesema Kanisa la ufufuo na uzima linamuunga mkono mama Samia kwa 100% kwa sababu huyu ni Joshua, yaani version nyingine ya John Magufuli.
Chanzo: Chomoza TV
Askofu Gwajima amesema Kanisa la ufufuo na uzima linamuunga mkono mama Samia kwa 100% kwa sababu huyu ni Joshua, yaani version nyingine ya John Magufuli.
Chanzo: Chomoza TV