Bahati mbaya sana huwezi kuona na kutambua ya rohoni mwa mtu.Gwajima anautiisho wa roho ndani yake. Anauwezo mkubwa wa kimungu, ndiyo sababu ya kupewa karama ya ufufuo.
Tutawatambuwa kwa matendo, Gwajima amethibitisha utiisho wake kwa matendo yake. Ni manabii wachache waliopata uwezo wa kufufua wafu.Bahati mbaya sana huwezi kuona na kutambua ya rohoni mwa mtu.
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Si ya kufufua wafu.Shetani anaweza kugawa karama na kufufua pia. Watch out utaibiwa
Kapewa karama ya ufufuo!Gwajima anautiisho wa roho ndani yake. Anauwezo mkubwa wa kimungu, ndiyo sababu ya kupewa karama ya ufufuo.
Kunauthibitisho akifufua mtu church kwake.Kapewa karama ya ufufuo!
Ni nani kakudanganya?
Nitajie jina la mtu mmoja tu kati ya wale aliowahi kuwafufua ambaye unamfahamu vizuri kuwa alikufa kisha huyu majiGwa akamfufua.Tutawatambuwa kwa matendo, Gwajima amethibitisha utiisho wake kwa matendo yake. Ni manabii wachache waliopata uwezo wa kufufua wafu.
Mbona hakutaka kumfufua mzee baba?Gwajima anautiisho wa roho ndani yake. Ana uwezo mkubwa wa kimungu, ndiyo sababu ya kupewa karama ya ufufuo.
Gwajima anasema Mpango atakuwa makamu wa Rais mwenye mafanikio makubwa kuliko wote waliotangulia, anasahau kama aliyetangulia amekuwa Rais wa nchi.
Alivyojikausha wakati wa msiba wa mzee utafikiri huwa hafufui watu.
hahahahaha dahAlivyojikausha wakati wa msiba wa mzee utafikiri huwa hafufui watu.