#COVID19 Askofu Gwajima: Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, kuchanjwa wengine tumekataa

Sasa mbona unajichanganya?

Unasema ana wafuasi, mara tena kama alikuwa na wafuasi wengi mbona alinajisi uchaguzi!

Wewe unashika lipi? Alikuwa na wafuasi au hakuwa nao kama mnavyosema alikuwa anachukiwa?
Wengi wanaanzia wawili boss.
 
Ibada inaendelea.

Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.

Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.

Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========

Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.

Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?

Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.

Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.

Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.

Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.

Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Huyu siyo PhD bali ni PoD (Prophet of Doom)!
 
Huyu MsuKuma ni msanii kama kina masanja na joti etc.

Sijui kwa nini watanzania mnakuwa wapumbavu kiasi hiki.
Wazazi wenu wangepinga i chanjo ya polio mashuleni huendi wengie wetu tungeshakufa kwa polio na kupooza kabisa
 
Sukuma GANG, he can go to hell and freeze, who gives an EF about him???..
Achanjwe asichanjwe he is a NOBODY.
Mwanaume anatafuta kimabavu umaarufu.

Anajilazimisha kuwa Bashite..ovyoooo!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Ibada inaendelea.

Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.

Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.

Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========

Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.

Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?

Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.

Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.

Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.

Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.

Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
1628003830382.png
 
Alisema corona haiwez ingia Tanzania, Leo ipi huoni kama tayari kwa Mtumishi kama yeye lazima tuta-question Kama kweli anaongozwa na roho wa Mungu au ni utashi wake
Mkuu huyo MUNGU tu aliahidi hataangamiza tena kwa maji(gharika) wala kwa moto.
Lakini imani imemshinda, matsunami kila leo,mioto ndio usiseme.
MPAKA sasa corona bado ni FUMBO la imani
 
Ibada inaendelea.

Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.

Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.

Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========

Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.

Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?

Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.

Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.

Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.

Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.

Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Gwajima ni tapeli wa siku nyingi sana; ama yeye mwenyewe amekwisha chanjwa, au amechoka kuishi anatafauta sababu kuzamia kusikojulikana.
 
Back
Top Bottom