OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,097
- 103,374
huyu jamaa ni dhahili ni tapeli,haaaa haaaa
Hahahaha na anko obe ndo mmetakananipo kwenye kampeni buana
Hahaha ntamwachaje yani ....Hahahaha na anko obe ndo mmetakana
Ila mzee wetu wa ubwabwaa yuko wapiii
HahahahahahaHahaha ntamwachaje yani ....
Mchele umeadimika pamoja na viungo
linganisha na video hii
Hakuna dini yenye majina na wala hakuna majina ya dini. Ni vile tu wazungu na waharabu walituzidi akili na kutufanya tushindwe kuthamini hata vizuri tulivyonavyo. Eti majina yao ndiyo majina ya dini wakati walikuwa wakiyatumia toka enzi za upagani!!!!Anashangaa Rashidi
Hata angeitwa Abdulrahmaan, Abdullah ambayo ndiyo majina mazuri zaid katika uislaam bado hai justify upuuzu wake
Bambo na joti wakasomeHuyu jamaa ni msanii kuliko Bambo
Mbona kwa wajumbe hakushinda mpaka alipotupiwa mbeleko na msukuma mwenzie? Mungu gani kwanza tuanzie hapo?Gwajima ana Mungu lazima ashinde na hata akiamua kuwa waziri mkuu au raisi anaweza
wewe subiri tuMbona kwa wajumbe hakushinda mpaka alipotupiwa mbeleko na msukuma mwenzie? Mungu gani kwanza tuanzie hapo?
wazee gani?Cha ajabu hata wazee hawamtaki Gwajiboy!
Uwezo wa kujibu swali ni 0.001%wewe subiri tu
issue ni kushinda ubunge na sio kutupiwa mbelekoUwezo wa kujibu swali ni 0.001%