Nimemsikiliza mwanzo mwisho...Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu
Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la covid-19
Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale Muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai
Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?
Gwajima anahoji lile jiko sasa wanaalitumia kwa kazi gani pale Muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo
Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona.
Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike
Anasema viongozi makini wangejiuzulu kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Kuna Askofu mmoja huko USA alipinga sana corona kanisani kwake na ikamwondoa chapWatu aina ya Gwajima nawakubali sana.
Lazima tuwe watu wenye misimamo isiyo yumbishwa, sio leo njano kesho nyekundu.
Hawajateleza hata kidogo, walilazimishwa na wanasiasa wa ccm wanaotumia katiba dhaifu kunyanyasa wananchi..ni nani angethubuti katamka tofauti na dikteta?Anamsema Dada yake Dorothy......ila kusema ukweli wataalamu wetu wakubali tu waliteleza
Msimamo upi huyu mnafki mkubwa, yeye na kundi lake dhalimu wana hasira sababu mama kaachana na yale mambo ya kipuuzi ya mwendazake, hawapingi chanjo bali wanampinga mama..tunawajua.Nimemsikiliza mwanzo mwisho...
Leo kashusha makombora yasiyo ya kawaida...
Hili limekuja baada ya kumzushia kuwa yeye Mch. Gwajima alikwisha chanjwa chanjo ya COVID 19 tangu mwaka jana huko HONGKONG na CHINA...
Wameweka mpaka "fake certificate" kujaribu kuthibitisha kuchanjwa kwake. Hapo ndiyo wakamchokoza zaidi na ndiyo kulipuka na kusema yote hayo...
Kwa kifupi, Mch. Gwajima yuko kinyume kabisa ña chanjo ya UVIKO 19, yuko kinyume na Rais Samia, yuko kinyume na serikali. Yeye amechagua kupiga kampeni ya LA KUCHANJWA...
Nampenda sana mchungaji huyu. Si kigeugeu, ni muwazi na haumiumi maneno. Husimamia vilivyo kile anachokielewa na kukiamini bila kujali wengine mnasema nini...
Kwa hili kasema waziwazi kuwa, hata akibaki peke yake, basi hatageuka nyuma, kushoto ama kulia...
Kasema kwa upande wa wachungaji wenzake wa kidini, kuwa huu ni wakati wa kutengwa kwa wachungaji wa kweli na wachungaji wa uongo...!
Mchungaji wa kweli ni yule alindaye kondoo wake hata pale simba ajapo kutaka kuwararua, yeye hakimbii (hakani imani yake)...
Mchungaji mwema ni yule aliye tayari kuutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo zake...
Yeye kasema, hata kwa kifo cha kimwili au kisiasa (kuvuliwa ubunge au kuamua mwenyewe kuacha), hata kuwa tayari kukubaliana na mikakati miovu ya shetani dhidi ya nchi hii...!
Duuh, huu ni msimamo wa mtu BOLD anayejiamini, mwenye nguvu zisizo za kawaida...
Hakukiamini alichokuwa anatuambia, alilazimishwa na diktetaSasa huyo Samia si ndio huyo huyo alieanza kuchanjwa siku ya kwanza ya kampeni ya chanjo, nini sasa kilicho mpata mpaka kushindwa kusimamia alicho tuaminisha?
Gwajima hivi anakumbuka ni Mteule wa CCM kweli? Au ndio hana Cha kupoteza? Nafikiri wenye chama wameshaamua internallyGwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu
Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la covid-19
Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale Muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai
Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?
Gwajima anahoji lile jiko sasa wanaalitumia kwa kazi gani pale Muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo
Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona.
Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike
Anasema viongozi makini wangejiuzulu kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
😅😅hii kali.Nayeye ajiuzulu kwanza huo ubunge wa kupora halafu aje atuambie kwanini hakumfufua Mwendazake
Hawana cha kumfanya sukuma gan iko strong.Gwajima hivi anakumbuka ni Mteule wa CCM kweli? Au ndio hana Cha kupoteza? Nafikiri wenye chama wameshaamua internally
Aisee ni kweli,Achana na Gwajima, hutomweza atakupoteza kwenye ulimwengu wa siasa kwa jina la Yesu. Kamuulize walichomfanya paulo.
Bila kumsahau Msukuma.Anamsema Dada yake Dorothy......ila kusema ukweli wataalamu wetu wakubali tu waliteleza
Unamkumbuka Kibwetere wa huko Uganda? Aliwaponza wafuasi wake na yeye akasepa na hajulikani alipo.Dunia hii ina maajabu sana! Hivi hao wanaoitwa wafuasi wake wanawezaje kukaa na kuanza kulisikiliza jitu taahira kama hilo,au ndio mataahira yamekutana?
na hilo kanisa sijui kama lina watu wanaojielewa
Kuna walio itwa na walio jiita usitishwe kama Mungu amekuita hutaogopa wala hofu haitakaa ikushindeKuna Askofu mmoja huko USA alipinga sana corona kanisani kwake na ikamwondoa chap
Labda hana cha kupoteza,huenda Mwendazake alimuweka kimkakati sasa alipofariki nahisi aliyoyotegemea hayapoGwajima hivi anakumbuka ni Mteule wa CCM kweli? Au ndio hana Cha kupoteza? Nafikiri wenye chama wameshaamua internally
HahahahaaaaCream my foot!!
Hao ambao ni "cream" mbona hawajatengeneza chanjo?
Wamesubiri mabeberu yatengeneze chanjo na wao wadandie treni kwa mbele!
Ati cream !! You people have amazing sense of humor!