Askofu Gwajima na Jerry Silaa wasimamishwa Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge

Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.

View attachment 1906116

Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.

Yetu Macho
Mbona pole pole kaachwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge limemuondoa mbunge wa Kawe Mh. Josephat Gwajima na yule wa Ukonga Mh Jerry Slaa kutoka kwenye kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge ambako walikuwa ni wajumbe wa kamati.

Kumbe ndio maana askofu Gwajima alijiamini "mno" kumbe alikuwa anacheza uwanja wa nyumbani.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hivi wakiondolewa hivyo ni hasara gani kwao au posho hakuna tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii movie ingerekodiwa ikarushwa Netflix mbona tungetoboa na mapato kuongezeka badala ya kupandisha tozo.
 
Bunge limemuondoa mbunge wa Kawe Mh. Josephat Gwajima na yule wa Ukonga Mh Jerry Slaa kutoka kwenye kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge ambako walikuwa ni wajumbe wa kamati.

Kumbe ndio maana askofu Gwajima alijiamini "mno" kumbe alikuwa anacheza uwanja wa nyumbani.

Mungu ni mwema wakati wote!
Gwajima kwenye kamati ya haki na maadili…..!?
 
Bunge limemuondoa mbunge wa Kawe Mh. Josephat Gwajima na yule wa Ukonga Mh Jerry Slaa kutoka kwenye kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge ambako walikuwa ni wajumbe wa kamati.

Kumbe ndio maana askofu Gwajima alijiamini "mno" kumbe alikuwa anacheza uwanja wa nyumbani.

Mungu ni mwema wakati wote!
CCM kwa CCM acha yauane
 
Kwa hapa serikali ama bunge limeshinda kwa nguvu Sana na Gwajima amekosa nguvu. Kwann? Kwasbb Gwajima baada ya hukum ya bunge iwe negative au positive ndo kwanzaaa angepata chati maana yeye alisema kwenye zogo ndo pakeee sasa HV atakosa Cha kusema zaidi ya kujiona mshindi
Sio kweli.
 
Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.

View attachment 1906116

Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.

Yetu Macho
CCM nao wana matatizo. Si wamnyang'anye ubunge waliompa kwa dhuluma kwanza tujue they mean business. Gwajima angepewa persona non grata na kurejeshwa kwao Burundi haraka sana.
 
Kwa hoja gani hadi afungiwe?
Ni tishio kwa chama tawala. Sasa kwa nini watishwe na mtu ambae walimpa ulaji??
Lkn gwajima amekasirika kuondolewa cha cha upinzani kwa ghiriba za kupewa uwaziri baadae barozi wa japani...kitu ambacho hakukipata km walivo kubaliana hata fununu ya lini atapewa...sasa iki kimemfanya akasirikie sirikali.. Na ana lengo la kuwasha moto hasa mpaka wayambe kifukuto!! Salma anajua!!

Yeye gwajima hajali kuupoteza huo ubunge.wala makanisa yake ya bongo.

Kwa kuwa Anayo makanisa mengi ulaya. Usa na Asia!! Na yanatoa sadaka kubwa kuliko hivi vikanisa vya bongo.

.Isipokuwa Tu australia ..N/zealand.Samoa.solomoni nk huko ni karibu tu na jpani.

hkn vikanisa vya ufufuo na uzima alitaka atumie fursa hiyo.kupata sadaka za huko. Zinalipa na watu kule ni waelewa..tayari walisha mpa fokker friendship mbili.na helkopter. Hiki baadhi ya wajumbe walikipinga lkn jiwe alikuwa mbabe aliamini akisema hkn wa kupinga.
 
Ni tishio kwa chama tawala. Sasa kwa nini watishwe na mtu ambae walimpa ulaji??
Lkn gwajima amekasirika kuondolewa cha cha upinzani kwa ghiriba za kupewa uwaziri baadae barozi wa japani...kitu ambacho hakukipata km walivo kubaliana hata fununu ya lini atapewa...sasa iki kimemfanya akasirikie sirikali.. Na ana lengo la kuwasha moto hasa mpaka wayambe kifukuto!! Salma anajua!!

Yeye gwajima hajali kuupoteza huo ubunge.wala makanisa yake ya bongo.

Kwa kuwa Anayo makanisa mengi ulaya. Usa na Asia!! Na yanatoa sadaka kubwa kuliko hivi vikanisa vya bongo.

.Isipokuwa Tu australia ..N/zealand.Samoa.solomoni nk huko ni karibu tu na jpani.

hkn vikanisa vya ufufuo na uzima alitaka atumie fursa hiyo.kupata sadaka za huko. Zinalipa na watu kule ni waelewa..tayari walisha mpa fokker friendship mbili.na helkopter. Hiki baadhi ya wajumbe walikipinga lkn jiwe alikuwa mbabe aliamini akisema hkn wa kupinga.
Maneno meeeengi, haya sasa, jibuni hoja zake
 
Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.

View attachment 1906116

Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.

Yetu Macho
 
Back
Top Bottom