Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Hizo kamati zitakua na posho kubwa
Hadi kutoka kwenye kamati ya maadiliYameshuka kivipi bwashee?!
Omba nafasi jamaa anguHizo kamati zitakua na posho kubwa
kibajaji msukuma JAHPEOPLEHivi hawa wabunge si ndio watunga sheria? wanashindwa kuelewa principle rahisi na ya msingi ya haki ya NEMO JUDEX IN CAUSA SUA?
Hawana Ila Wao Wana Mamlaka ya Kuwapa Adhabu ya Kutohudhuria vikao angalau kuanzia vi3Hivi kamati ya bunge/spika wa bunge wanayo power ya kumvua mbunge ubunge?
Tena kwa ugonjwa sawa na huu aliokuwa anataka haki na ukweli vijulikane! Pharmaceutical industries ni ny0k0 ukiigusa maslahi yao umeisha....subirini muone kuhusu ukweli wa maneno yangu!
Nyie mnaompa kichwa ndio mnamuharibuBunge limemuondoa mbunge wa Kawe Mh. Josephat Gwajima na yule wa Ukonga Mh Jerry Slaa kutoka kwenye kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge ambako walikuwa ni wajumbe wa kamati.
Kumbe ndio maana askofu Gwajima alijiamini "mno" kumbe alikuwa anacheza uwanja wa nyumbani.
Mungu ni mwema wakati wote!
Hivi kweli bunge lipo live au ni la redioni? Mie bado kujua.Kufuatilia Bunge hili inabidi uwe special, unless ndio mkate wako ulipo.
Kwa kitendo alichofanya ngwajima hakustahili kuwa mbunge licha ya uanachama.Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.
View attachment 1906116
Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.
Yetu Macho
Silaa kaipigania CCM hadi kufikia kumpoteza Baba yake kwenye ajali ya helkopta lakini hayo ndiyo malipo.Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.
View attachment 1906116
Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.
Yetu Macho
Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.
View attachment 1906116
Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.
Yetu Macho
Hivi kweli bunge lipo live au ni la redioni? Mie bdo kujua.