Askofu Gwajima na Jerry Silaa wasimamishwa Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge

Ndio maandalizi ya kumwondoa Gwajima duniani au?

View attachment 1905829
Tena kwa ugonjwa sawa na huu aliokuwa anataka haki na ukweli vijulikane! Pharmaceutical industries ni ny0k0 ukiigusa maslahi yao umeisha....subirini muone kuhusu ukweli wa maneno yangu!
Majirani zetu Kenya mwezi ujao mtumishi yeyote wa umma hakuna mshahara hadi awe na cheti cha chanjo ya Uviko -19,Hivi kuna nini nyuma ya hii chanjo??!

Mimi nimesoma alama za nyakati nikajitahidi kupata cheti ila chanjo hadi 2028!
 
🔴BREAKING NEWS:

Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo
 
Baada ya hapo mshahara wao utapungua toka milioni 12 hadi ngapi?,au marupurupu yatapungua!?.. vyeo vingine ni kuongezeana majukumu tu kwenye Jamii. Anayekupunguzia hivyo vyeo anaweza kuwa anakusaidia akidhani anakukomoa.
 
Nadhani wameondolewa kwa muda ili kwanza wajadiliwe. Isingewezekana Gwajima akajihoji
 
Bunge limemuondoa mbunge wa Kawe Mh. Josephat Gwajima na yule wa Ukonga Mh Jerry Slaa kutoka kwenye kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge ambako walikuwa ni wajumbe wa kamati.

Kumbe ndio maana askofu Gwajima alijiamini "mno" kumbe alikuwa anacheza uwanja wa nyumbani.

Mungu ni mwema wakati wote!
Nyie mnaompa kichwa ndio mnamuharibu
 
Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.

View attachment 1906116

Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.

Yetu Macho
Kwa kitendo alichofanya ngwajima hakustahili kuwa mbunge licha ya uanachama.
WANAMWOGOPA,WANAJUA NYUMA YA NGWAJIMA KUNA WATU WENYE NGUVU. KAMATI IMEJIOSHA MBELE YA JAMII

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.

View attachment 1906116

Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.

Yetu Macho
Silaa kaipigania CCM hadi kufikia kumpoteza Baba yake kwenye ajali ya helkopta lakini hayo ndiyo malipo.
 
Usanii
Wakuu Wabunge Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.

View attachment 1906116

Nini Kitatokea mbeleni Tungoje, Kwa Mtindo Huu Wanaweza Hata Kupewa Adhabu ya kufungiwa wasihudhurie Vikao Vi3 Vya Bunge.

Yetu Macho
 
Back
Top Bottom