GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 3,567
- 4,617
Kwenye siasa hasa hizi "SIHASA" zetu za kibongo bongo .... Unatakiwa kuwa vuguvugu, muongo muongo,manafiki, mchonanishi mlafi na mbinafsi.
Askofu Gwajima aitike wito, aende mbele ya hiyo kamati akatetee hoja zake ... Kimsingi ni nzito, na zimeshiba:.. baadaye ahitimishe kwa kujiuzuru ubunge! .... vinginevyo akiendelea kuwa mbunge atakuwa msanii zaidi.
Namshauri ajikite kwenye kutoa huduma kwenye kanisa lake na kupitia huko hata wasio waumini wa kanisa lake wataupata ujumbe.
Askofu Gwajima aitike wito, aende mbele ya hiyo kamati akatetee hoja zake ... Kimsingi ni nzito, na zimeshiba:.. baadaye ahitimishe kwa kujiuzuru ubunge! .... vinginevyo akiendelea kuwa mbunge atakuwa msanii zaidi.
Namshauri ajikite kwenye kutoa huduma kwenye kanisa lake na kupitia huko hata wasio waumini wa kanisa lake wataupata ujumbe.