johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,835
Hii kauli inaweza kumgharimu askofu Gwajima japo hata mwasisi wa CCM Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo baba wala mama yake.
Ngoja tumsikie komredi Shaka.
Mkuu Pascal Mayalla anza kupiga jaramba!
Ngoja tumsikie komredi Shaka.
Mkuu Pascal Mayalla anza kupiga jaramba!