#COVID19 Askofu Gwajima, kuwa Daktari (PhD Holder) hakumaanishi unaweza kutibu wanadamu

  • ukipata chanjo unaweza kupata corona? Ndio
  • ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? Ndio

Sasa kwa nini upate chanjo?
Inapunguza makali ya ugongwa.hupati adhabu sana hulali viuongo vinauma tu na maumivu makali kichwa hakiponi na usikii harufu yeyote ile wala hupati testa ya kitu chochote.nimepona bila kunywa dawa yeyote ila cha moto nimekipata.kama kuna chanjo nachanja mapema adhabu za corona kali sana
 
Askofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.

Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.

Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.

Huyu mwamba ana PhD ya nini mkuu?
 
Wewe ndo huelewi kuwa na PhD holder hakumanishi kwamba unajua kila kitu!! Gwajima yupo sahihi na mimi namuunga mkono asilimia 100%
Kumbe na wewe ni zombi,

Mbona hilo kanisa analowadanganyia Mazombi wake limeletwa na wazungu,kwanini asiende kwenye matunguli ambayo ndiyo asili ya mwafrika?
 
Askofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.

Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.

Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.

Sahihisha huyu siyo PhD holder!! Mwenye PhD lazima aseme tafiti yake kafanya wapi?, andiko lake ni lipi na liko wapi??

TUSICHOSHANE
 
Pumbavu mama yako mzazi mdangaji wa buguruni
Laana yako tayari imeshakufika. Andika wosia. Neno langu halianguki chini na wala matusi yako hata mje maelfu, hayabadilshi ukweli huu. Laana iko juu yako tayari. Ila naombea wanao wawe spared kwa kuwa upumbaavu huu ni wako peke yako.
 
Laana yako tayari imeshakufika. Andika wosia. Neno langu halianguki chini na wala matusi yako hata mje maelfu, hayabadilshi ukweli huu. Laana iko juu yako tayari. Ila naombea wanao wawe spared kwa kuwa upumbaavu huu ni wako peke yako.
Same Old tales
 
Askofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.

Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.

Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.

Hebu tuwacheni mzaha. Hivi gwajima ana Phd ya kitu gani? Hawa wachungaji self trained Phd zao za theology mi naziona kama vyeti feki tu. Hili la corona mi silihusishi na elimu ya gwajima ila nakubaliana nae kwa kiasi kikubwa. Ana hoja za maana.
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom