Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapunguza makali ya ugongwa.hupati adhabu sana hulali viuongo vinauma tu na maumivu makali kichwa hakiponi na usikii harufu yeyote ile wala hupati testa ya kitu chochote.nimepona bila kunywa dawa yeyote ila cha moto nimekipata.kama kuna chanjo nachanja mapema adhabu za corona kali sana
- ukipata chanjo unaweza kupata corona? Ndio
- ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? Ndio
Sasa kwa nini upate chanjo?
Huyu mwamba ana PhD ya nini mkuu?Askofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.
Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.
Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.
Kumbe na wewe ni zombi,Wewe ndo huelewi kuwa na PhD holder hakumanishi kwamba unajua kila kitu!! Gwajima yupo sahihi na mimi namuunga mkono asilimia 100%
Sahihisha huyu siyo PhD holder!! Mwenye PhD lazima aseme tafiti yake kafanya wapi?, andiko lake ni lipi na liko wapi??Askofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.
Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.
Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.
Pumbavu mama yako mzazi mdangaji wa buguruniLaana iwe juu ya kichwa chako tu. Mungu awaponye watoto wako. Pumbvu.
Umenena kweli,tatizo la nchi yetu wajinga ,vichaa na wapumbavu ndo wanapata platforms.
Laana yako tayari imeshakufika. Andika wosia. Neno langu halianguki chini na wala matusi yako hata mje maelfu, hayabadilshi ukweli huu. Laana iko juu yako tayari. Ila naombea wanao wawe spared kwa kuwa upumbaavu huu ni wako peke yako.Pumbavu mama yako mzazi mdangaji wa buguruni
Same Old talesLaana yako tayari imeshakufika. Andika wosia. Neno langu halianguki chini na wala matusi yako hata mje maelfu, hayabadilshi ukweli huu. Laana iko juu yako tayari. Ila naombea wanao wawe spared kwa kuwa upumbaavu huu ni wako peke yako.
Hebu tuwacheni mzaha. Hivi gwajima ana Phd ya kitu gani? Hawa wachungaji self trained Phd zao za theology mi naziona kama vyeti feki tu. Hili la corona mi silihusishi na elimu ya gwajima ila nakubaliana nae kwa kiasi kikubwa. Ana hoja za maana.Askofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.
Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.
Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.