johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha Wananchi wa Kawe.
Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea. Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.
Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.
Maendeleo hayana vyama!
Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea. Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.
Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.
Maendeleo hayana vyama!