Askofu Gwajima: Kutoka Kanisani hadi CHADEMA na sasa CCM akielekea bungeni ili kazi iendelee!

Kama kuna watu nitawaona wajinga na wendawazimu ni wale watakaompigia kura mtu muongo muongo na mjanja mjanja kama Gwaji Uno,ipo clip yake ikitembea humu jukwaani na social networks nyengine akijitapa kwamba yeye ni mtumishi wa Mungu tu huko kwenye siasa hatokaa aingie.

Sasa kama mtu akathubutu kujiita mtumishi wa Mungu tena kwa kuweka nadhiri hadharani kisha leo anaikana nadhiri yake ile kwa kufanya kile kile alichosema hakubaliani nacho hivi huyu level yake ya uwongo itapimwa kwa scale gani?kama amethubutu kumdanganya Mungu (sijui hata anaabudu Mungu gani) wewe raia wa kawaida itakuwaje?
 
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha wananchi wa Kawe.

Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea.
Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.

Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.

Maendeleo hayana vyama!
Nadhani akichaguliwa watu wa Kawe watakuwa hakuna kilio maana MTU akifa Gwajima anamfufua kama wale misukule na yule binti wa sekondari.
Na kwa sasa hata kiongozi wa CCM aki rest in peace tunamuita MFUFUAJI wa chama kuja kumfufua.
 
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha wananchi wa Kawe.

Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea.
Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.

Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.

Maendeleo hayana vyama!
Acha upimbi,huyu ni tapeli tu Kama wengine,Hana Cha utakatifu wowote,Kama angekuwa na Mungu,asingeongea hivi harafu Leo anafanya tofauti.
 
Nilichogundua chadema mnahofia na kumuogopa sana Gwajima!

Mbaya zaidi mlimkaribisha hadi chumbani kwenye chama chenu na yote anayajua
Mzee mimi siyo mwanasiasa ingia kwenye profile yangu search post nazotuma hapa uone kama mimi nina chama,nachofanya naandika facts.

Ifike mahali wote tuelewe siasa siyo lazima ziwe na mashindano na siasa siyo lazima ziwe na uwongo uwongo ni Waafrica tu ndo tuna ujinga huo,badilikeni!!!
 
Nadhani akichaguliwa watu wa Kawe watakuwa hakuna kilio maana MTU akifa Gwajima anamfufua kama wale misukule na yule binti wa sekondari.
Na kwa sasa hata kiongozi wa CCM aki rest in peace tunamuita MFUFUAJI wa chama kuja kumfufua.
Yote yanawezekana kwake aaminiye bwashee!
 
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha wananchi wa Kawe.

Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea.
Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.

Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.

Maendeleo hayana vyama!
Na Atagombea uraisi 2025.
 
Nilichogundua chadema mnahofia na kumuogopa sana Gwajima!

Mbaya zaidi mlimkaribisha hadi chumbani kwenye chama chenu na yote anayajua
Msikilize alichokiongea hapa kwenye kipande cha video/sauti,shida wengi wenu mmekariri siasa ni kusema uwongo na lolote atakalosema mtu hamaanishi alimradi ametoka kwenye chama chako.

Huo ni uzwazwa!
Acha upimbi,huyu ni tapeli tu Kama wengine,Hana Cha utakatifu wowote,Kama angekuwa na Mungu,asingeongea hivi harafu Leo anafanya tofauti.View attachment 1543621
 
Alipokuwa anamshambulia Makonda mlikuwa mnaenda hadi kujazana kanisani kwake kwa kujiita mnaenda kulipuliwa bomu na kupewa ubuyu na kumuita yule ndio askofu sasa!

Alipomtukana Pengo mkamuita yule ndio mtumishi wa kweli wa Mungu.

Alipikuwa mshenga wa kumleta Lowasa chadema na kusababisha waliokipigania chama kama kina Slaa na wengineo kuindoka mkamuita majina yote mazuri mazuri.

Leo hii mmemugeuka kisa kahamia upande wa pili? Aliyewapoka akili zenu ana dhambi sana.

Acheni demcrasi itawale, muacheni Mdee apambane si anapendwa sana Kawe? Hofu kwa Gwajima inatoka wapi?
Sijawai kum support Gwajima hata siku moja. Nifuatilie humu post zangu tangu nimejiunga JF kama nimewai kumuunga mkono huyu tapeli!

Labda hujui 2015 sikuwai kumsupport Lowassa. Mie nilikuwa huko huko CCM unakokupigia chapuo sasa!
 
mimi siyo mpenz wa chama chochote ila jana nilikaa mgahawani nikamskia mzee akiongea na wenzake kuwa safari hii hata ccm waweke jiwe kawe watalichagua maana halima mdee wanampenda na ni muongeaji mzuri ila walichogundua ni kuwa kulipo na mbunge wa chadema hakuna maendeleo hvyo ni bora wachgue mbunge wa ccm wapte mirad mwsho wa kunukuu.
sasa ilejioni kuskia katangazwa gwajma nkamuona halima yuleee matupwa
 
Huyo Askofu tapeli mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Mbunge anatatuaje migogoro ya ardhi, nafikiri ni swala LA kiserikali zaidi na kisheria, hvyo aanze kwa mwenyekiti wa mtaa, mkuu wa wilaya na mkoa, ikishindikana kwa waziri.

Ila sizani kama mbunge ana jukumu LA kutatua migogoro ya ardhi.
Halima hata yeye mwenyewe moyoni mwake kama yuko mkweli wa nafsi yake anajua kabisa kuwa ameshachoka kutumikia wananchi wa jimbo la Kawe!

Huo ndiyo ukweli kabisa !

Halima Mdee kuna maswala muhimu kabisa ya msingi yamemshinda Jimboni ikiwemo migogoro ya ardhi Halima hii imemshinda kabisa, Gwajima atafuatilia na kuleta ufumbuzi ili haki itendeke!
 
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha wananchi wa Kawe.

Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea.
Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.

Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.

Maendeleo hayana vyama!
Ukweli CCM sijawaelewa hata kidogo kule Kawe. CCM sasa inataka kutuaminisha kuwa kumbe ilimtuma Gwajima aunde vikundi vya Kisukuma ili kumsapoti Mheshimiwa. Gwajima hana sifa ya kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri kwa tabia za kijamii, mahusiano yake na jamii, achilia mbali ubaguzi wa kikabila na kidini alionao. CCM tutapiga kura za chuki dhidi yenu Wallah mmetuletea huyu Shetani huku Kawe
 
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha Wananchi wa Kawe.

Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea. Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.

Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.

Maendeleo hayana vyama!
Aiseee ccm mmekosa watu ? Eti askofu uchwara mjasiria dini mchumia tumbo opportunist chawi ana weledi wa uongozi wa kimwili na kiroho ? Kabisa aisee hasa kucheza sinema za ngono ana weledi wa kutosha , Denzil Washngton wa kawe.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom