Askofu Gwajima: Kutoka Kanisani hadi CHADEMA na sasa CCM akielekea bungeni ili kazi iendelee!

Alipokuwa anamshambulia Makonda mlikuwa mnaenda hadi kujazana kanisani kwake kwa kujiita mnaenda kulipuliwa bomu na kupewa ubuyu na kumuita yule ndio askofu sasa!

Alipomtukana Pengo mkamuita yule ndio mtumishi wa kweli wa Mungu.

Alipikuwa mshenga wa kumleta Lowasa chadema na kusababisha waliokipigania chama kama kina Slaa na wengineo kuindoka mkamuita majina yote mazuri mazuri.

Leo hii mmemugeuka kisa kahamia upande wa pili? Aliyewapoka akili zenu ana dhambi sana.

Acheni demcrasi itawale, muacheni Mdee apambane si anapendwa sana Kawe? Hofu kwa Gwajima inatoka wapi?
mimi pia nmeshangaa gwajima kageukwa
 
Lala na wewe acha wanaume wajadili mambo ya msingi


Acha gender marginalization!

Acha kumbagua mtu kwa jinsia yake au kwa namna yeyote ile ni makosa makubwa!

Ondokana kabisa na maswala ya mfumo dume!

Yani tena nitakuja na mada ya ubaguzi wa kjinsia.

Wanaume ndiyo mlotufikisha hapa, tangu Uhuru viongozi ni wanaume , nyie mnastahili kutupatia maelezo ya kina ya kwa vipi Tumefika hapa tulipo na kwamba tulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapa tulipo.

Halafu niambie kwanini magerezani wanaume wako wengi kuliko wanawake? Ukizingatia madai kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume nchini?

Mbona ilipaswa kuwa kinyume chake ?!

Gwajima is greatest!
 
Mbunge anatatuaje migogoro ya ardhi, nafikiri ni swala LA kiserikali zaidi na kisheria, hvyo aanze kwa mwenyekiti wa mtaa, mkuu wa wilaya na mkoa, ikishindikana kwa waziri.

Ila sizani kama mbunge ana jukumu LA kutatua migogoro ya ardhi.


Afadhali hata umesema huzani maana yake huna uhakika!

Nakushauri ufuatilie kujua !

Ni kwamba hakuna kazi ambayo mbunge anakuwa exempted.

Mojawapo ya majukumu yake ni kuisimamia serikali na kufuatilia utekelezaji wa maswala ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

Anatakiwa kushirikiana na serikali katika kuondoa kero za wananchi.

Mbunge ni mjumbe katika baraza la madiwani la Halmashauri kwa taarifa yako, Je unajua ni kwanini?!

Gwajima anatosha!
 
Acha gender marginalization!

Acha kumbagua mtu kwa jinsia yake au kwa namna yeyote ile ni makosa makubwa!

Ondokana kabisa na maswala ya mfumo dume!

Yani tena nitakuja na mada ya ubaguzi wa kjinsia.

Wanaume ndiyo mlotufikisha hapa, tangu Uhuru viongozi ni wanaume , nyie mnastahili kutupatia maelezo ya kina ya kwa vipi Tumefika hapa tulipo na kwamba tulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapa tulipo.

Halafu niambie kwanini magerezani wanaume wako wengi kuliko wanawake? Ukizingatia madai kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume nchini?

Mbona ilipaswa kuwa kinyume chake ?!

Gwajima is greatest!
Akina Halima ni wanaume? pambana acha kusubiri viti maalum
 
Akina Halima ni wanaume? pambana acha kusubiri viti maalum

Ni wachache sana!

Angalia hata majina ya wagombea yaliyotoka juzi , majority ni wanaume !

Ningeombwa ushauri ningesema wanawake wote walioshika nafasi ya 2-3 wafikiriwe kuwekwa kuwa wagombea kwenye majimbo husika.

Lakini hiyo ifanyike baada ya kujiridhisha kuwa wana uwezo wa kutosha kufanya kazi yenye matokeo chanya na siyo ilimradi tu kwa kigezo cha kuwa mwanamke ilihali hauwezi ushindani.

Wakati ukifika nitatangaza nia jimboni !

Kwanza hivyo viti maalum naona vina mlolongo mrefu achilia mbali majungu na fitina zinazofanyika!

Kwa hiyo wakati utakapofika bora kwenda jimboni !
 
Wakati ukifika nitatangaza nia jimboni !

Kwanza hivyo viti maalum naona vina mlolongo mrefu achilia mbali majungu na fitina zinazofanyika!

Kwa hiyo wakati utakapofika bora kwenda jimboni !
Acha kuishi kwa kusubiri huruma ya wanaume, MUNGU amekupa miguu, akili na mikono. Ingia mzigoni tafuta haswa
 
Kawe mjiandae kufufuliwa na miskiti kuwa Sunday schools

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app


Hapana jamani usiseme hivyo ndugu yangu!

Ile mihemko ya wainjilisti tu.



Ni mfano mihemko ya wanasiasa kusema chama fulani watakizika wakati siyo.

Tumuunge mkono Gwajima atatufaa , zikijengwa barabara tutatumia wote, maji wote n..k
 
Gwajima Mungu amemshusha cheo ana hahaha! mara ubunge mara chadema/kanisa unataka nini? guJiwe anatisha!
 
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha Wananchi wa Kawe.

Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea. Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa wa Malawi.

Askofu Gwajima karibu ulete ukombozi Kawe.

Maendeleo hayana vyama!
Bwasheee. ....umesahau na umahiri alioonesha kwenye ile "video" yake akiwa "anamsulubu" mmoja wa kondoo wake uwanja wa 6x6!
 
Gwajiboy inabidi sasa achague kati ya Kanisa na CCM. Haiwezekani kada mtiifu aendelee kuongoza kanisa lenye waumini wa vyama vyote
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom