Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,349
- 21,278
We uliona wapi taifa zima likauawa na watu wachache. Ndio maana tupo tunaopinga watatuongoza sisi.Sasa basi kaishi dunia ya peke yako maana
Halafu wamtawale nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uliona wapi taifa zima likauawa na watu wachache. Ndio maana tupo tunaopinga watatuongoza sisi.Sasa basi kaishi dunia ya peke yako maana
Halafu wamtawale nani?
Akili za kuokotea taka hizi!We uliona wapi taifa zima likauawa na watu wachache. Ndio maana tupo tunaopinga watatuongoza sisi.
We amini unachokiamini, ni hiari nenda kachanje kama unavoaambiwa na wakuu wako wa nchi. Mimi sitachanja mpaka nijiridhishe.Akili za kuokotea taka hizi!
Kujiridhisha subiri miaka 30 ijayo ndio utakuwa umejiridhisha!We amini unachokiamini, ni hiari nenda kachanje kama unavoaambiwa na wakuu wako wa nchi. Mimi sitachanja mpaka nijiridhishe.
Hayo umesema wewe sio mimi. Nenda kachanjwe mkuu, kila la kheri ..Kujiridhisha subiri miaka 30 ijayo ndio utakuwa umejiridhisha!
So what!!Askofu Gwajima alisema Kimsingi Daktari Dorothy Gwajima ambaye ndiye Waziri wa afya wa JMT ni mke wa mdogo wake.
Ni katika kuweka kumbukumbu sawa.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kibwetere anataka kuliteketeza kanisa kwa corona.Askofu kibwetere shikilia hapo hapo.
Umepiga chanjo mkuuGwajima anajibiwa Kwa hoja nyepesi sana, watu wanachanjwa sindano za mifupen wanajitokeza kwenye camera kutwambia wamechanjwa chanjo ya corona anyway kila mmoja apambane na Hali yake
Nyinyi mkishabaki wachache na dhaifu huku wakichota rasilimali kama zaoSasa basi kaishi dunia ya peke yako maana
Halafu wamtawale nani?