Askofu Gwajima: Kimsingi Waziri wa Afya ni mke wa mdogo wangu

Kwa nini ukichanjwa unaambiwa uendelee kuchukua tahadhari zote yaani kuvaa barakoa, kuepuka misongamano, kunawa mikono?
Uingereza bado kuna COVID-19🦠😷, mbona kwenye viwanja vya mpira watu wanajaa kama kawaida na hawavai barakoa?
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom