MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,343
- 11,227
Awataje sasa, yeye si anazo factsKwan yule afisa elim sijui Arusha mbona alichoma feki?? Unataka kusema sio kiongozi yule?
Awataje sasa, yeye si anazo factsKwan yule afisa elim sijui Arusha mbona alichoma feki?? Unataka kusema sio kiongozi yule?
The opposite, ni kwa wanaotaka watu wachanjwe. Kwani ni wao tu? Mbona wengine wanaotaka kuchanjwa wako kimya ila Samia na nyie mnapiga piga kelele?Kitendo cha kuikashifu serikali kila kukicha kwa maamuzi yake maana yake ni kumkashifu kiongozi wake,kwani asiyetaka kuchanjwa ni yeye tu mbona hatusikii hizo kelele kutoka kwa wengine? Ana lake jambo huyo mbwa.
Sawa mfuasi wa Kibwetere.Acha UPUUZI
Sawa muumini wa Kibwetere.Rais yupi hapo alietukanwaa we mujahidina?? Tumia akili kidogo hata ya elimu dunia jombaa..
Maoni ya mkazi wa mchamba wima.maoni ya mkazi wa maKUNDUchi
Unauliza au unapigia jibu mstari?Aliibiwa nani ?
mi nawaambieni gwajima anatafuta starting point. Yani wakijichanganya eti kwamba wamvue uanachama au ubunge hapo ndipo watakapokua wamevuka mkojo na kukanyaga mavi. Na ndipo starting point ya gwajima itakapoanzia.View attachment 1893352
"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"
Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!
My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Wanaochanja hawatakufa?Alichofanya samia kama president ni kuruhusu chanjo kwa hiyari ya mtu,ukitaka sikiliza wataalam kachanje,hutak msikilize gwajima usichanje Ili ukifa ukauone ufalme wa milele,the choice is yours..kusuka au kunyoa
Mpumbavu ni wewe! Siku zone mlikuwa mnalia uhuru wa habari! Mwacheni aongee!Gwajima anatakiwa kuchukuliwa hatua za kinadhamu A.S.A.P .... Hawa sio wakuvumiliwa wakati huu kabisa . Watu tunapoteza ndugu zetu kila siku yeye anafanya utani aiseee....Mpumbavu mwili mzima .
wee jamaa comments zako uwa zinachekesha sanaHuyu tapeli Gwajima ngoja amkaange mama hadi akili zimkae sawa. Haya ndio madhara ya kuchanganya dini na siasa. Kura walizoiba mwaka 2020 sasa zimeanza kuwaehua. Na huyu Gwajima atakuwa amekumbwa na PEPO la wizi wa kura.
Mpumbavu ni wewe! Siku zone mlikuwa mnalia uhuru wa habari! Mwacheni aongee!
Siwezi kubishana na mtu mwenye akili finyu mimi .... wafuasi wa kibwetere . Nenda katafute ulipoitupa akili yako ukishaipata uniteMpumbavu ni wewe! Siku zone mlikuwa mnalia uhuru wa habari! Mwacheni aongee!
Angeshafunguliwa ugaidiHiiange freedom of speech mbona haipo kwa wapinzani
Angalia vizuri lile bomba la sindano, lilikuwa limeshasukumwa mpaka chini, kabla ya kuchomwa.Mama SSH amechanjwa nimeona clip akidungwa sindano na muuguzi kuminya bomba.
Wamefake kama anavyofeki miujiza na kuwaibia wapumbavu wengi nchini? Kumbe wamejifunza kwake siyo? Je Gwajiboy atapata nini katika upuuzi wake huu au ni kutafuta kiki kirahisi kumbaff mkubwa?View attachment 1893352
"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"
Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!
My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
acha ushamba gwajima siyo askofu bali askopo na pimbi wa kujipachikaView attachment 1893352
"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"
Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!
My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.