imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,034
Ila siwafikii hao wafugaji wa Misukule.Unaweza kuta ww ndio chizi!
Ila siwafikii hao wafugaji wa Misukule.Unaweza kuta ww ndio chizi!
kwani serikali si ilisema kuchanja ni hiari,mbona sasa wao wanajiona wana haki ya kuhamasisha watu wachanje,kwanini wengine wakihamasha watu wasichanje mwawapiga mikwaraKitendo cha kuikashifu serikali kila kukicha kwa maamuzi yake maana yake ni kumkashifu kiongozi wake,kwani asiyetaka kuchanjwa ni yeye tu mbona hatusikii hizo kelele kutoka kwa wengine? Ana lake jambo huyo mbwa.
uko biased sana sio ukabila sio udini.Pimbi mimi au huyo mpumbavu mwenzako unayemtetea! Alivyokuwa msukuma mwenzake kila kitu alikuwa anasifia kama shoga anayemsifia bwana wake.
Usituletee ujinga wa kidini, anatukanwa Mungu sembuse mwanadamu.Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
Mbowe Ni mkristu na amepewa kesi ya Ugaidi.
Sasa aaminiwe nani!?
RAIS, KAKOBE au GWAJIMA (GWAJIBOY)????
Tunaelekea kuzuri....View attachment 1893352
"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"
Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!
My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Anayetoa tuhuma ndio kazi yake kudhibitishaWewe umethibitisha uhalali na ubora wa the so called chanjo waliyoichoma?
Kumbe Ni mambo hivyo? Takbiiiir, kibiti na mozambique😁😁😁😁mbona walipokamatwa masheikh wa uamsho hamkupiga kelele mitandaoni waachiwe. mbowe ana wiki ndani kelele kama yote. ebu mwacheni mbowe akae miaka 6 jela ndio mseme bado mapema
Gwajima awataje hao viongozi, sio kuleta porojo.Yule Afisa Elimu wa Arusha anawakilisha viongozi wa serikali walioigiza kichanja
Aliibiwa nani ?Rais hajatukanwa bali watu wanasema ukweli. Huyo Gwajima hana cha kumuogopa rais maana anajua wote wako madarakani kwa wizi wa kura.
View attachment 1893352
"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi.
JiweSasa aaminiwe nani!?
RAIS, KAKOBE au GWAJIMA (GWAJIBOY)????
Kwan yule afisa elim sijui Arusha mbona alichoma feki?? Unataka kusema sio kiongozi yule?Uhuru ni wa maoni sio facts, huwezi kusema soda za Coca Cola zina sumu halafu useme ni uhuru wa maoni.
Kusema viongozi wamechoma chanjo feki ni factual matter. Akitakiwa athibitishe ataweza?