johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Chadema na CCM zimeungana katika kumkemea askofu Gwajima kuhusiana na msimamo wake hasi kuhusu chanjo ya Corona.
Katika mambo ya msingi ni jambo jema kuwaona Chadema na CCM wanakuwa Wamoja katika Umoja.
Mungu ni mwema wakati wote!
Katika mambo ya msingi ni jambo jema kuwaona Chadema na CCM wanakuwa Wamoja katika Umoja.
Mungu ni mwema wakati wote!