USA inaipaa PESA. Tanzania.. Ndio maana Wanafuatili sana.. Mikataba yao mingi ya misaada ina masharti ya nikuzingatia democrasia Kw mnufaika WA mkopo hawo wengine uliowataja hawatoi misaada sana kwa Tanzania, kumbukA USA ndio police wa duniASafi sana, nimekuwa nikitafakari huu ubalozi wa Marekani nchini mwetu Nabaki kushangaa, inafikia kipindi wanaanza kuzungumzia mambo personal ya nchi yetu
Mbona sioni ubalozi wa China, Italy, Sweden, Norway nk ukijihusisha na mambo yetu?
Mtumishi wa mungu ndugu Gwajima kaona mbali, Mungu ambariki sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Askofu wa wajinga.Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.
Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Chanzo: TBC Aridhio!
Jibu swali.Usibadili subject husika kwa kujitia UZWAZWA!
Jibu swali.
Mbona swali lenyewe simple tu!
Mhuni ni nani - aliyetuuza 2015 au aliyetununua?
Uliuzwa sh ngp, kwahiyo uliuzwa kwenda ccm kwa sh ngp mkuuJibu swali.
Mbona swali lenyewe simple tu!
Mhuni ni nani - aliyetuuza 2015 au aliyetununua?
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.
Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Chanzo: TBC Aridhio!
Hamna kitu HapoAkizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.
Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Chanzo: TBC Aridhio!
Mbona yeye Gwajima anazungumza Habari za Ubalozi wa Marekani badala ya kuzungumza Habari za kondoo wake?Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.
Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Chanzo: TBC Aridhio!
Sema tu unaogopa kuonja SUMU.Sijibu maswali ambayo hayana kichwa wala miguu. Issue ilikuwa ni gwajima umekosa hoja sasa unaleta viroja bla bla bla. Katafute mwingine wa kujibu swali lako mie huo upuuzi sifanyi.
Mwamba na Lissu wanajua walituuza sh ngapi 2015.Uliuzwa sh ngp, kwahiyo uliuzwa kwenda ccm kwa sh ngp mkuu
Kumbe unaishi kwa kudhaniaMwamba na Lissu wanajua walituuza sh ngapi 2015.
Huyo mtaalam wa filamu za ngono anaongea kama nani?? Yeye anatakiwa atupe maujuzi anayotumia kuwageuza kondoo wake kuwa washiriki wake katika filamu za ngono!Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.
Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Chanzo: TBC Aridhio!
Hawana tofauti na Msigwa hawa.Mkuu huyu si Mtumishi wa Mungu ni mhuni na tapeli tu.
Wapi Msigwa alicheza movie za ngono? Na lini Msigwa amezini na waumini wake?Hawana tofauti na Msigwa hawa.
Mtaalamu wa ngono uzembeanatafuta uwaziri wa kuteuliwa
Sweden, Norway?Safi sana, nimekuwa nikitafakari huu ubalozi wa Marekani nchini mwetu Nabaki kushangaa, inafikia kipindi wanaanza kuzungumzia mambo personal ya nchi yetu
Mbona sioni ubalozi wa China, Italy, Sweden, Norway nk ukijihusisha na mambo yetu?
Mtumishi wa mungu ndugu Gwajima kaona mbali, Mungu ambariki sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app