Askofu Gwajima aushangaa ubalozi wa Marekani kuzungumzia suala la Mbowe aliyedondoka au kuvamiwa

Hawa akina Gwajima Bwana Yesu aliwaona toka zamani hizo, kuwa sio wote waniitao bwana bwana watakaouona ufalme wa Mungu.

Akina Gwajima hawamuabudu Mungu ila wanamuabudu mtu kwa maslahi yao ya kidunia hawana tofauti na waabudu sanamu.
 
Safi sana, nimekuwa nikitafakari huu ubalozi wa Marekani nchini mwetu Nabaki kushangaa, inafikia kipindi wanaanza kuzungumzia mambo personal ya nchi yetu

Mbona sioni ubalozi wa China, Italy, Sweden, Norway nk ukijihusisha na mambo yetu?

Mtumishi wa mungu ndugu Gwajima kaona mbali, Mungu ambariki sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
USA inaipaa PESA. Tanzania.. Ndio maana Wanafuatili sana.. Mikataba yao mingi ya misaada ina masharti ya nikuzingatia democrasia Kw mnufaika WA mkopo hawo wengine uliowataja hawatoi misaada sana kwa Tanzania, kumbukA USA ndio police wa duniA
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Chanzo: TBC Aridhio!
Askofu wa wajinga.
 
Sijibu maswali ambayo hayana kichwa wala miguu. Issue ilikuwa ni gwajima umekosa hoja sasa unaleta viroja bla bla bla. Katafute mwingine wa kujibu swali lako mie huo upuuzi sifanyi.

Jibu swali.
Mbona swali lenyewe simple tu!
Mhuni ni nani - aliyetuuza 2015 au aliyetununua?
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Chanzo: TBC Aridhio!


Huyu sio mchungaji ni mfanya biashara na tulikuwa naye US alipokuja kununua ndege yake. Yuko kwenye biashara zake awe makini asije kuwa banned kama Makonda
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Chanzo: TBC Aridhio!
Hamna kitu Hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Chanzo: TBC Aridhio!
Mbona yeye Gwajima anazungumza Habari za Ubalozi wa Marekani badala ya kuzungumza Habari za kondoo wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijibu maswali ambayo hayana kichwa wala miguu. Issue ilikuwa ni gwajima umekosa hoja sasa unaleta viroja bla bla bla. Katafute mwingine wa kujibu swali lako mie huo upuuzi sifanyi.
Sema tu unaogopa kuonja SUMU.
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Chanzo: TBC Aridhio!
Huyo mtaalam wa filamu za ngono anaongea kama nani?? Yeye anatakiwa atupe maujuzi anayotumia kuwageuza kondoo wake kuwa washiriki wake katika filamu za ngono!
 
Safi sana, nimekuwa nikitafakari huu ubalozi wa Marekani nchini mwetu Nabaki kushangaa, inafikia kipindi wanaanza kuzungumzia mambo personal ya nchi yetu

Mbona sioni ubalozi wa China, Italy, Sweden, Norway nk ukijihusisha na mambo yetu?

Mtumishi wa mungu ndugu Gwajima kaona mbali, Mungu ambariki sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sweden, Norway?
 
Back
Top Bottom