Askofu Gwajima anajua yeye ni mbunge kupitia CCM, kwanini anashawishi uongozi wa juu Chadema umpe nafasi agombee urais 2025?

Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.

Sasa Rais Samia kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala wa wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.

Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.

Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.

CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Ulitegemea chanjo itamuondolea uanachama CCM ukaona haikuwa hivyo! Sasa unatafuta visingizio dhaifu eti wamfukuze! It won't workoo (in Nigerian tone)
 
Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.

Sasa Rais Samia kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala wa wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.

Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.

Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.

CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Ccm mnataabika Sana na chadema, huu mwaka maji mtaita mma,
Hata mkifunga mbowe wananchi wazalendo tutadai katiba

Mko bize kufabricate propaganda za kitoto kama kawaida yenu
 
Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.

Sasa Rais Samia kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala wa wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.

Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.

Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.

CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Una ushahidi wa hizo tuhuma? Au ni porojo tu kama kawaida?
 
Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.

Sasa Rais Samia kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala wa wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.

Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.

Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.

CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Hii nimenuku Maneno ya Fasiliteta
"Ndo MAWAZO ya kijana wa ccm haya, serikali hii kama ndo nyinyi mnataraji kupewa madaraka Basi ni serikali ya mazombi"

Thanks
 
Deep state imeanza "chokochoko"

Kama alivyosema Jerry Muro, ikiwaka tazama ikizima papasa. Kazi kwako Gwajiboy.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom