Askofu Gwajima anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Kimei Waziri wa Fedha, Tarimba Abbas Waziri Viwanda na Biashara!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,561
Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.

1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani

2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha

3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara

4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo

5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi

6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria

Unaweza kuendeleza orodha

Maendeleo hayana vyama!
 
Katika hawa wote uliowataja na hadi kuwapigia Chapuo hapa japo Mimi Kura yangu JPM na CCM wameipata ila akiwateua wote au hata tu kumteua mmoja wapo hapa nitamdharau kuliko Mwenyekiti wangu CCM na Rais wangu Dk. Magufuli kwakuwa hakuna anayemfaa hapa.
 
Dah wacheni kumchagulia safu yake ya uongozi. JPM ameaminiwa kwa kura za kishindo hivyo yeye mwenyewe anapanga safu yake ya Hapa Kazi Tu.
 
Kifupi itoshe kusema unaropoka wala hujui uzito wa wizara ya mambo ya ndani pale na mtu km Mwigulu akili mingi na roho mbaya sana
 
Unatumia haya maneno "Maendeleo hayana chama" wakati serikali yako sidhani kama inaamini hayo!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom