johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!